Ushauri unahitajika haraka sana

Mike 1234

JF-Expert Member
Feb 23, 2009
1,633
154
Jana rafiki yangu kanipigia simu kuniomba ushauri kuhusu kutokuelewana na mkewe wa ndoa kuhusu simu ya mkononi,jamaa ni mfanyakazi mwajiriwa na mama nimfanya biashara na biashara yenyewe ni jamaa mwenyewe katoa mtaji,sasa anasema usiku wa jumamosi kuamkia jana jumapili mkewe aliingia bafuni yeye akawa yupo kitandani, akachukua simu ya mkewe na kuanza kusoma sms,mama alipo toka bafuni akakuta mzee anasoma sms,mkewe akamuuliza mbona unapenda sana kupekua simu yangu?jamaa naye akamuuliza kwani niipekua kuna shida gani?asema mkewe alikuja juu na kumuonya siku akikuta ameshika simu yake tena na anaipekua ataivunja hiyo simu,sasa jamaa ndo kaja kwangu kuniomba ushauri yeye anasema kweli mke wake ni mwaminifu tena kama mwanzo?hakuna lililojificha ndani hapo?hivyo kabla sijampa ushauri nikaona ni vema na mimi niwashirikishe,hiki kisa ni cha kweli kabisa hivyo ushauri uwe wa kweli ni watu wapo ndani ya ndoa kwa miaka kumi sasa,asanteni
 
mama ameanza kufanya BIASHARA NA BIDHAA YA JAMAA
km hauna madudu nakwambia aman tupu simu unaibwaga pale juu ya meza ...aishke asiishke amani tele ...popote ukiona mtu au watu wanawekeana sheria ya KILA MTU NA SIMU YAKE APO UJUE KUNA TATIZO ...(ingawa nazngatia upraivet wa mtu)
lakin still km hauna madudu simu unaiweka popote na wala hautakuwa mkali akiishka yan km unapika ndo kwanza unamtuma mzee..babamaiko ebu nenda na simu yangu ukaniwekee vocha uko ....AMANI TELE MOYON ..
NI UKWELI NDO UTATUWEKA HURU NA SI KINGNE UONGO UNATUFANYA TUWE WATUMWA....!!!!
 
Jana rafiki yangu kanipigia simu kuniomba ushauri kuhusu kutokuelewana na mkewe wa ndoa kuhusu simu ya mkononi,jamaa ni mfanyakazi mwajiriwa na mama nimfanya biashara na biashara yenyewe ni jamaa mwenyewe katoa mtaji,sasa anasema usiku wa jumamosi kuamkia jana jumapili mkewe aliingia bafuni yeye akawa yupo kitandani, akachukua simu ya mkewe na kuanza kusoma sms,mama alipo toka bafuni akakuta mzee anasoma sms,mkewe akamuuliza mbona unapenda sana kupekua simu yangu?jamaa naye akamuuliza kwani niipekua kuna shida gani?asema mkewe alikuja juu na kumuonya siku akikuta ameshika simu yake tena na anaipekua ataivunja hiyo simu,sasa jamaa ndo kaja kwangu kuniomba ushauri yeye anasema kweli mke wake ni mwaminifu tena kama mwanzo?hakuna lililojificha ndani hapo?hivyo kabla sijampa ushauri nikaona ni vema na mimi niwashirikishe,hiki kisa ni cha kweli kabisa hivyo ushauri uwe wa kweli ni watu wapo ndani ya ndoa kwa miaka kumi sasa,asanteni

Tatizo liko hapokayataka mwenyewe....
 
Kwa nini apekue simu wife akiwa ametoka?
Ila mambo mengine bwana lol ina maana ana wasi wasi na mkewe .?
 
Rose Umenena Kweli kabisaaa...Shida watu Sio Waaminifu kenye ndoa,Wengi wanaingia kwenye ndoa kwa malengo.Kama sio kuwa na status ya Kuwa married basi itakuwa Mali.Ila Marriage is all about Devotion,trust and TRUE LOVE.
kama Kuna trust we mtu akiigusa simu yako mshipa unakushtuka nini?Hata kama msg imeingia kwa wrong Number Unajitetea bila kuyumba.Mwnagalie mtu anaye jitetea kwa kudanganya na anaye jitetea ile kweli.Kuna marginal difference.
@Mike
Kama Jamaa na mkewe wamekuwa Mwili mmoja basi Hakuna limitations! ukiona limit ujue kuna Piracy hapo!
 
Rose Umenena Kweli kabisaaa...Shida watu Sio Waaminifu kenye ndoa,Wengi wanaingia kwenye ndoa kwa malengo.Kama sio kuwa na status ya Kuwa married basi itakuwa Mali.Ila Marriage is all about Devotion,trust and TRUE LOVE.
kama Kuna trust we mtu akiigusa simu yako mshipa unakushtuka nini?Hata kama msg imeingia kwa wrong Number Unajitetea bila kuyumba.Mwnagalie mtu anaye jitetea kwa kudanganya na anaye jitetea ile kweli.Kuna marginal difference.
@Mike
Kama Jamaa na mkewe wamekuwa Mwili mmoja basi Hakuna limitations! ukiona limit ujue kuna Piracy hapo!
yan ndugu yangu acha tu
minapingaga saaana
mpe uhuru mwenzako km akitaka kuchek au kushka tu simu mwache ..shda ipo wap km hauna madudu
kwanza ukiwa hauna wasiwasi na upo huru na simu yako mwenzako na yeye hatakuwa na hamu na hamu ya kushika simu yakolakin weew ukienda kuoga sabun simu unayo ,unaosha vyombo simu unayo yan simu haiwekw chn apo mwenzako lazm atataka kujua kuna nini kwenye cm????
jaribu kuwa huru na simu ...KM UNAJIAMINI LAKIN KM UNA VMEO 10 KDG BASI ENDELEA KUFICHA SIMU KWENYE BOKSA SJUI KWENYE SIDIRIA MNAJUANA WENYEWE

ivi jaman km umeamua kuwa na uyu sasa kinachokusibu kupeleka bailojia nje tena nini???pls usnambie NATURE
MNAFICHA SIMU KWA KIGEZO CHA UPRAIVET SJUI UPRAIVESI ILI MUWEZE KUENDELEZA UJINGA BILA KUSHTUKIWA...achen izo ..chagua baiolojia moja gandana nayo na kwaili utakuwa huru na simu yako, hali itakayompelekea asiwe anairukia simu yako kila anapoiona cz anajua hakuna kitu....!!!!!!!!!
 
ntafunga novena tisa nyingne ili roho wa bwana ashuke atusaidie katika ili
..UKWELI UTAWAWEKA HURU NYINYI KIZAZI CHA NYOKA(wenye kuficha simu zao)
 
hapo hatukupi hata ushauri mana wewe na rafki yako wote ni wapumbavu sasa hapo mwanamke ana tatzo gani?? Kwan kamfumania?? Mwanaume kazi kumpekua mkeo 2 na kulalama kwa wanaume wenzio..
Ngoja ao anaowapelekea mashitaka wamlie mkewe ndo atajua nie anaowaletea matatzo yake na mkwe ni kina nan...
Yan badala akae aongee na mkewe ndani kwa upole na hekima.
.
ata biblia yasema mtu akikukosea umwite kwa upole na unyenyekevu usimsemeseme hovyo kwa watu...
 
Kwa nini apekue simu wife akiwa ametoka?
Ila mambo mengine bwana lol ina maana ana wasi wasi na mkewe .?
ndo swali nilimuuliza akasema kuna siku alikuwa anasoma sms akakuta jamaa kamwandikia sms njoo tupate kinywaji mkewe akamjibu jamaa nipo home na boss
 
hapo hatukupi hata ushauri mana wewe na rafki yako wote ni wapumbavu sasa hapo mwanamke ana tatzo gani?? Kwan kamfumania?? Mwanaume kazi kumpekua mkeo 2 na kulalama kwa wanaume wenzio..
Ngoja ao anaowapelekea mashitaka wamlie mkewe ndo atajua nie anaowaletea matatzo yake na mkwe ni kina nan...
Yan badala akae aongee na mkewe ndani kwa upole na hekima.
.
ata biblia yasema mtu akikukosea umwite kwa upole na unyenyekevu usimsemeseme hovyo kwa watu...

Jamani humu si mnapaita home of great thinkers? mbona wewe sasa ndio unaonekana mpumbavu zaidi ya hao uliowaita wapumbavu, kwani lazima uchangie kama huna la kuchangia, ya nini kuwabwatukia wenzio na kuwaita wapumbavu, hili jukwaa linatoa pia uhuru wa kusoma tu maoni, si lazima uchangie. Naungana na Rose 1980, ametoa somo zuri tu. Kwa kifupi lazima huyo wife atakuwa na vimeo fulani jamaa akae aongee nae vizuri wayaweke sawa.
 
hapo hatukupi hata ushauri mana wewe na rafki yako wote ni wapumbavu sasa hapo mwanamke ana tatzo gani?? Kwan kamfumania?? Mwanaume kazi kumpekua mkeo 2 na kulalama kwa wanaume wenzio..
Ngoja ao anaowapelekea mashitaka wamlie mkewe ndo atajua nie anaowaletea matatzo yake na mkwe ni kina nan...
Yan badala akae aongee na mkewe ndani kwa upole na hekima.
.
ata biblia yasema mtu akikukosea umwite kwa upole na unyenyekevu usimsemeseme hovyo kwa watu...
kukujibu ni makosa maana unadandia treni kwa mbele
 
hapo hatukupi hata ushauri mana wewe na rafki yako wote ni wapumbavu sasa hapo mwanamke ana tatzo gani?? Kwan kamfumania?? Mwanaume kazi kumpekua mkeo 2 na kulalama kwa wanaume wenzio..
Ngoja ao anaowapelekea mashitaka wamlie mkewe ndo atajua nie anaowaletea matatzo yake na mkwe ni kina nan...
Yan badala akae aongee na mkewe ndani kwa upole na hekima.
.
ata biblia yasema mtu akikukosea umwite kwa upole na unyenyekevu usimsemeseme hovyo kwa watu...
kwanza kutukana siyo sehemu yake hapa tafuta sehemu hili jamvi halikufai kwanza posts ni 36 ni jinsi gani ulivyo mgeni
 
yan ndugu yangu acha tu
minapingaga saaana
mpe uhuru mwenzako km akitaka kuchek au kushka tu simu mwache ..shda ipo wap km hauna madudu
kwanza ukiwa hauna wasiwasi na upo huru na simu yako mwenzako na yeye hatakuwa na hamu na hamu ya kushika simu yakolakin weew ukienda kuoga sabun simu unayo ,unaosha vyombo simu unayo yan simu haiwekw chn apo mwenzako lazm atataka kujua kuna nini kwenye cm????
jaribu kuwa huru na simu ...KM UNAJIAMINI LAKIN KM UNA VMEO 10 KDG BASI ENDELEA KUFICHA SIMU KWENYE BOKSA SJUI KWENYE SIDIRIA MNAJUANA WENYEWE

ivi jaman km umeamua kuwa na uyu sasa kinachokusibu kupeleka bailojia nje tena nini???pls usnambie NATURE
MNAFICHA SIMU KWA KIGEZO CHA UPRAIVET SJUI UPRAIVESI ILI MUWEZE KUENDELEZA UJINGA BILA KUSHTUKIWA...achen izo ..chagua baiolojia moja gandana nayo na kwaili utakuwa huru na simu yako, hali itakayompelekea asiwe anairukia simu yako kila anapoiona cz anajua hakuna kitu....!!!!!!!!!
ushauri wako mzuri sana na nimeupenda
 
Hapo kuna kitu kimejificha haiwezekani kuwa na masharti katika matumizi ya simu kati ya mume na mke. Huyo mama huenda kuna jambo anaficha jamaa asigundue kupitia simu yake.
 
Hapo kuna kitu kimejificha haiwezekani kuwa na masharti katika matumizi ya simu kati ya mume na mke. Huyo mama huenda kuna jambo anaficha jamaa asigundue kupitia simu yake.
ni kweli maana anasema kuna siku alishawahi kukuta sms anakaribishwa kinywaji na kumjibu huyo mtu yupo nyumbani na boss badala hata ya kusema mume wangu
 
Jana rafiki yangu kanipigia simu kuniomba ushauri kuhusu kutokuelewana na mkewe wa ndoa kuhusu simu ya mkononi,jamaa ni mfanyakazi mwajiriwa na mama nimfanya biashara na biashara yenyewe ni jamaa mwenyewe katoa mtaji,sasa anasema usiku wa jumamosi kuamkia jana jumapili mkewe aliingia bafuni yeye akawa yupo kitandani, akachukua simu ya mkewe na kuanza kusoma sms,mama alipo toka bafuni akakuta mzee anasoma sms,mkewe akamuuliza mbona unapenda sana kupekua simu yangu?jamaa naye akamuuliza kwani niipekua kuna shida gani?asema mkewe alikuja juu na kumuonya siku akikuta ameshika simu yake tena na anaipekua ataivunja hiyo simu,sasa jamaa ndo kaja kwangu kuniomba ushauri yeye anasema kweli mke wake ni mwaminifu tena kama mwanzo?hakuna lililojificha ndani hapo?hivyo kabla sijampa ushauri nikaona ni vema na mimi niwashirikishe,hiki kisa ni cha kweli kabisa hivyo ushauri uwe wa kweli ni watu wapo ndani ya ndoa kwa miaka kumi sasa,asanteni

...kwanza elewa ushauri wa haraka haukubaliki.

Pili, msahuri jamaa yako aache hiyo tabia mbaya ya kupekua pekua simu ya mkewe.
Miaka kumi ya ndoa bado anapekua tu? Akijiepusha na tabia inayochukiza mkewe, hata naye atapata
faraja kwa yale ajikerayo nayo
 
inawezekana mama hana shida yoyote ila hakufurahishwa na baba kupekua simu akiwa hayupo ameonyesha kama hamuamini waambie wake chini wazungumze atapata jibu
 
Back
Top Bottom