Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,497
- 2,359
Amesoma EGM na amepata matokeo haya
Economics .....D
Geography ......D
Advanced Mathematics ....F
Matokeo ya O-level ni haya
Commerce ....C
Bookkeeping ...C
Mathematics ......C
Geography ........C
English .......A
Biology .........A
English .......A
Kiswahili ....C
Civics.....
Anataka ku-apply
1.Bachelor of science in Agricultural Economy and Agribusiness inayotolewa pale Sokoine University of Agriculture . Ina uwezo wa kidahili watu 311. Kwa ushindani uliopo na falsafa ya chuo anaweza akapata nafasi ya kudahiliwa hapo chuoni?
2.Bachelor of science agricultural and natural resources economics and business. Kozi hii inatolewa University of Dar es Salaam (UDSM), ambayo ina uwezo wa kudahili watu 205 . Je anaweza akapata nafasi ya kudahiliwa?
Ni kwamba ana-Interest na masomo ya kilimo na biashara ndio maana anataka asome kati ya hizo kozi.
Je anaweza akapata mkopo? Kwani amesoma shule binafsi O-level na kwa Advanced level amesoma shule ya Serikali.
Mwenye kutia neno, ushauri,pendekezo Karibu sana.
Economics .....D
Geography ......D
Advanced Mathematics ....F
Matokeo ya O-level ni haya
Commerce ....C
Bookkeeping ...C
Mathematics ......C
Geography ........C
English .......A
Biology .........A
English .......A
Kiswahili ....C
Civics.....
Anataka ku-apply
1.Bachelor of science in Agricultural Economy and Agribusiness inayotolewa pale Sokoine University of Agriculture . Ina uwezo wa kidahili watu 311. Kwa ushindani uliopo na falsafa ya chuo anaweza akapata nafasi ya kudahiliwa hapo chuoni?
2.Bachelor of science agricultural and natural resources economics and business. Kozi hii inatolewa University of Dar es Salaam (UDSM), ambayo ina uwezo wa kudahili watu 205 . Je anaweza akapata nafasi ya kudahiliwa?
Ni kwamba ana-Interest na masomo ya kilimo na biashara ndio maana anataka asome kati ya hizo kozi.
Je anaweza akapata mkopo? Kwani amesoma shule binafsi O-level na kwa Advanced level amesoma shule ya Serikali.
Mwenye kutia neno, ushauri,pendekezo Karibu sana.