Habari za saizi
Nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana, amefanikiwa kupata division two, yeye anataka akasome diploma ya physiotherapy na ili asiende advance anasema itakuwa ngumu kuchaguliwa PCB amepata Physics -D Biology -C Chemistry -C Mathematics -C.
Je, tumuache tu aende diploma?
Nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana, amefanikiwa kupata division two, yeye anataka akasome diploma ya physiotherapy na ili asiende advance anasema itakuwa ngumu kuchaguliwa PCB amepata Physics -D Biology -C Chemistry -C Mathematics -C.
Je, tumuache tu aende diploma?