USHAURI TU: Tukianza kampeni tuwe tunaachia na idadi kadhaa ya wafungwa hata wakirudi kwao waukumbuke uchaguzi uliowatoa

USHAURI TU: Tukianza kampeni tuwe tunaachia na idadi kadhaa ya wafungwa hata wakirudi kwao waukumbuke uchaguzi uliowatoa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
maombi yangu kwa Mungu mnapoanza kampeni muanze kuwapa msamahq baadhi ya wafungwa

kama tunavyowapa siku za sherehe kadhaa

mungu wa majeshi awakumbuke kwenye msamaha huu

damu ya Yesu ikawafunike mnapowaachia nje wenye haki na wasio na haki

amen
Amen
Amen
 
Kama ujaelewa umefwata nn huku shoewine
 
Back
Top Bottom