Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,109
- 2,752
Hello team Magari ,naombeni ushauri wenu ,nina mpango wa kuagiza hii Suzuki Jimny sasa sijajua ni ipo Bora Kati ya Manual Transmission au Automatic transmission msaada wa ushauri please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara za Mzungu hazingoji ongezeko la miamala ili zitengenezwe.Mwafrika atakuambia chukua manual ila mzungu atakuambia chukua automatic.Je,kati ya mwafrika na mzungu ni nani ana akili kwenye hili?
Kwanini manual transmission bei juu kuliko automatic?Mwafrika atakuambia chukua manual ila mzungu atakuambia chukua automatic.Je,kati ya mwafrika na mzungu ni nani ana akili kwenye hili?
Gear box ya manual transmission inadumu muda mrefuKwanini manual transmission bei juu kuliko automatic?
Wapi huko?Nikitaka kununua Jimny manual transmission mpya kutoka nje huko zinakotengenezwa bei iko juu kuliko automatic?Kwanini manual transmission bei juu kuliko automatic?
Asante sana mkuu nimechukua manual transmission ila ni cc 650,ni kwa ajili ya kuwapeleka watoto shule na kanisani mkuu,sikujua kama kuna cc 1300Chukua manual yenye cc 1300. Ni gari nzuri japo haina space
Gear box ya manual transmission inadumu muda mrefuNimeona karibu kila mtu anatoa option lakini hasemi sababu.
Why manual not auto and vice versa?
Ulivuta kwa kiasi gani hyo garAsante sana mkuu nimechukua manual transmission ila ni cc 650,ni kwa ajili ya kuwapeleka watoto shule na kanisani mkuu,sikujua kama kuna cc 1300