Naomba mchangn wa mawazo ili nimshauri ndugu yangu. Yeye ni mwalimu ameajiriwa na serikali, alifanya mpango akaenda kusomea shahada ya (CED) maendeleo ya jamii na uchumi amemaliza 2011. ametafuta kazi inayoendana na fani mpya hajapata. mwishoni aliamua kuomba kwenye NGO inayoitwa AFRICA VOLUNTEER CORPS kama volunteer ili apate uzoefu kazini. Amepata kwa kulipwa dola 150 kwa mwezi . Kuna utofauti kidogo wa anacholipwa sasa na hicho cha dola 150.naombeni mchango wenu wa mawazo ili nimshauri.