ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,289
- 8,427
Habari zenu wanajamvi! Nina rafiki yangu mmoja amenishirikisha jambo so anahitaji ushauri, mimi sio Dr so sijui chochote, Issue iko hivi yeye miezi michache ijayo atafunga ndoa, lkn kabla ya kumpata mwanume huyu anaefunga nae ndoa alikuwa na BF mwingine, ktk mahusiano yao huyo bf walikuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile japo kwa madai yake ilikuwa si mara kwa mara. Sasa tatizo lake ni hili kwamba amekuwa akisikia watu wakisema kuwa mwanamke akifanya mapenzi kinyume na maumbile akibeba ujauzito siku ya kujifungua atapata matatizo, sasa anaogopa anatamani hata asiolewe kwasababu anaona ataumbuka, yuko njia panda afanyeje ila huo mchezo ameshauacha tangu aachane na boyfriend wake huyo takribani miezi nane sasa, ushauri wenu tafadhari!