kifupi ni kwamba ni natatizo la kuto umwa njaa hata nikikaa bila kula masaa 24.Sasa nakula tu kwa sababu nafahamu mtu inabidi ale ili aishi ila kiukweli ,njaa huwa hainiumi.Mwenye uelewa na tatizo hili au ambaye amewahi pitia hali kama hii naomba mnisaidie kutatua hili.