Ushauri tafadhali

Ushauri tafadhali

Habari wana JF,

Naombeni msaada kwa anayejua mshauri mzuri wa mambo ya mhusiano. Nahisi kama BP inanisakama kwa mawazo na uchungu nilionao.

asanteni.

facebook ndio wanaandika hivyo!" ........... hapa jf unafunguka tu. mod ipeleke hii thread facebook.
 
Pole sana, mapenzi ni matamu na ni mamchungu pia
 
Make a summary wapo wenye hekima watakushauri wale wenye mizaha watakuburudisha ila wapotezee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom