Ushauri tafadhali

Ushauri tafadhali

KATOTY

Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
24
Reaction score
11
Habari wana JF,

Naombeni msaada kwa anayejua mshauri mzuri wa mambo ya mhusiano. Nahisi kama BP inanisakama kwa mawazo na uchungu nilionao.

asanteni.
 
weka shida yako hapa mkuu!!hapa hapaharibiki neno boss utashauriwa na kuburudishwa pia!
 
eleza shida/ matatizo yako utasaidiwa
 
washauri wako hapa hapa jf the great thinker labda waganga ndo hamna na wachawi tuu ila kwa ushauri utaupata hapahapa jf
 
Habari wana JF,

Naombeni msaada kwa anayejua mshauri mzuri wa mambo ya mhusiano. Nahisi kama BP inanisakama kwa mawazo na uchungu nilionao.

asanteni.
Achana na mambo ya kupenda kama mimi. mia
 
Habari wana JF,

Naombeni msaada kwa anayejua mshauri mzuri wa mambo ya mhusiano. Nahisi kama BP inanisakama kwa mawazo na uchungu nilionao.

asanteni.

Jinsia yako tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom