BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
eeeh! Kwa hiyo akiposa ndo anasaka nyumba wanahamia na mkewe kila mmoja katoka kwa mzazi? Hivi ulishaona mkaka akiudhiana na mkewe anachukua kibegi huyooooo kwa mamake? Nilishaona hii kituko aisee, kama comedy
HAHAHAHAHAHAH sipati picha, mkaka arudi kwao..........
Unajua KING'sti mama mtu hana amani na mwanae kujitegemea......labda anaona matumizi yatapungua sasa hili inategemea na akili za mtoto kwa vile mama mtu anajua tabia za mwanae.....
Au ndo uzee tena wazazi wanahold tu kwa mtoto.....
Yote inategemea atamconvince vipi mama yake...... Nakumbuka hata mie kujitegemea ilikuwa issue maana mama kwangu ni zaidi ya mzazi, mashosti kila kona tupo wote ila mwisho wa siku alikubaliana na hali halisi
lakini vile kodi zilivyopanda jamani......
Si angenunua kiwanja?
Akajenga vyumba 2 na sebule ndo
akahama?
Au anahofia muda atakaomaliza kujenga?
Last edited by a moderator: