BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
Kuna mdada nampenda sana tena sana ,yuko chuo mwaka wa pil diploma malengo yetu kuja kuoana lakini kutokana na mazingira ya akina dada wawapo vyuon nafikili mnawajua tabia zao zinavyo badilika ,nimemwambia nimpe laki 5 ili abebe mimba yangu na siyo kwamba nikimpa laki 5 ndpo iwe mwisho hapana hiyo ni kama asante yangu kwani natamani sana kuzaa naye lakini bado ana kataa so manauuuuuuumeeeeee nipeni mbinu nimchezee hesabu abebe mimba yangu nitamtunza kama malkia kwani uwezo ninao.