Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,688
- 2,982
Fanya mpango usepe tuu
Ndugu, naishi kwake
Ndugu, naishi kwake
Tumia akili yako zaidi ya maneno yako.. itafika point utaweza kuutumia ukorofi wake against him/her...yaani akianza ukorofi aone kuna kitu kinamrudia mwenyewe.Asalam alaykum wana JF natumai mpo wazima, nia na madhumuni ya kuanzisha hii siredi ni kwakutaka ushauri kutoka kwenu ni vipi mtu unaweza ukaishi kwa mtu mkorofi na mkaelewana?
Kuwa mvumilivu tu na usimjibu pale anapoonyesha ukorofiSijalazimishwa ila imenilazimu maana ndio kwanza niko katika process zakujipanga kimaisha
Atakufanya anavotaka, utapandwa hadi kichwaniKuwa mpole.
Hilo ndilo suluhisho langu.Atakufanya anavotaka, utapandwa hadi kichwani