Ushauri Tafadhali!!!

Ushauri Tafadhali!!!

Asalam alaykum wana JF natumai mpo wazima, nia na madhumuni ya kuanzisha hii siredi ni kwakutaka ushauri kutoka kwenu ni vipi mtu unaweza ukaishi kwa mtu mkorofi na mkaelewana?
Tumia akili yako zaidi ya maneno yako.. itafika point utaweza kuutumia ukorofi wake against him/her...yaani akianza ukorofi aone kuna kitu kinamrudia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom