colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,896
Habari wakuu
Bila kupoteza muda niende kwenye point husika kama kichwa cha habar hapo juu
Mimi ni mtumishi wa Serikali ila kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza juu ya kuacha hii kazi na kutimkia ughaibuni kuanza maisha mapya
Najua si jambo la kujiamulia tu ukiangalia hali ilivyo ngumu nyakati hizi kupata ajira....ndo nimeamua kuja kwenu wadau munipe a..b..c
Nchi ambazo nataka nizamie ni canada au Uk moja wapo hapo so naomba wale wa tz wenzangu ambao wapo huko waje kunishauri na kunipa expirience pia za hizo nchi husika
Nasubiri ushauri wenu wadau nitashukuru sana
Mnakaribishwaaaa.
Bila kupoteza muda niende kwenye point husika kama kichwa cha habar hapo juu
Mimi ni mtumishi wa Serikali ila kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza juu ya kuacha hii kazi na kutimkia ughaibuni kuanza maisha mapya
Najua si jambo la kujiamulia tu ukiangalia hali ilivyo ngumu nyakati hizi kupata ajira....ndo nimeamua kuja kwenu wadau munipe a..b..c
Nchi ambazo nataka nizamie ni canada au Uk moja wapo hapo so naomba wale wa tz wenzangu ambao wapo huko waje kunishauri na kunipa expirience pia za hizo nchi husika
Nasubiri ushauri wenu wadau nitashukuru sana
Mnakaribishwaaaa.