Ushauri tafadhali kwa huyu dada

Usije ukakuta huyo bwana tayari ana hawara yake ana mimba nje huko so anaona ni mzigo kulea mimba ya nyumbani na ya nje
Maana sioni haja ya mtu kusema kuwa hayuko tayari kulea mimba yake na anashauri kabisa wakatoe mimba mke na mume wakatoe mimba ambayo imeinfia kwa uhusiano halali kati yao wawili
Na mtoto ana miezi nane ukijumlisha na umri wa mimba ya pili miezi tisa mtoto wa kwanza atakuwa na mwaka na miezi mitano ambayo hata kama ni kula anaweza kuwa ameshafikia kupewa na uji na vyakula laini
Ahhh hapo bana kuna issue zaidi ya tunayoelezwa hapa

Inawezekana mkuu.
 
Nafikiri kuzaa na kulea ni makubaliano...
atamtesa huyo mtoto wa kwanza

jamani tuwe wakweli, gharama za maisha zimepanda hapo atakuwa kama analea mapacha
 
Nafikiri kuzaa na kulea ni makubaliano...
atamtesa huyo mtoto wa kwanza

jamani tuwe wakweli, gharama za maisha zimepanda hapo atakuwa kama analea mapacha

sasa kipi nafuu kukwepa gharama za maisha au kuhatarisha maisha ??? hivi akitoa hiyo mimba akapata tatizo kwenye uzazi itakuwaje??? je huyo mwanaume atamthamiani tena???
 
Nafikiri kuzaa na kulea ni makubaliano...
atamtesa huyo mtoto wa kwanza

jamani tuwe wakweli, gharama za maisha zimepanda hapo atakuwa kama analea mapacha


kama angezaa mapacha asingelea? inamaana angeua mmoja au
acha kuhalalisha mambo yasio na msingi bana gharama zip hapo kwan walioana waishi pekeyao
au kulikuwa na makualiano ya kuzaa mmoja ...

huyo dada asitoe hiyo mimba full stop azae na kama kuharibu ndoa kwa sababu ya mtot aharibu tu
kwani wangapi wanaishi na wana watoto
isitoshe huyo mumewe anayetaka kumrudhisha amegundua si mwaminifu sasa wakiachana kesho si bora aze tu awe na watoto wake
embo oooo
 
kama angezaa mapacha asingelea? inamaana angeua mmoja au
acha kuhalalisha mambo yasio na msingi bana gharama zip hapo kwan walioana waishi pekeyao
au kulikuwa na makualiano ya kuzaa mmoja ...

huyo dada asitoe hiyo mimba full stop azae na kama kuharibu ndoa kwa sababu ya mtot aharibu tu
kwani wangapi wanaishi na wana watoto
isitoshe huyo mumewe anayetaka kumrudhisha amegundua si mwaminifu sasa wakiachana kesho si bora aze tu awe na watoto wake
embo oooo

tena asimpe nafasi akazungumzia suala la utoaji mimba , mwambie yeye kamaa yeye avumilie kila kitu na aamini mwenyezi mungu yu pamoja nae
 
Kutoa mimba si suluhisho la tatizo. Ninachoweza kumshauri ni kujaribu kukaa na mume wake, amueleze madhara ya kitu wanachotaka kukifanya.
Ikishindikana ajaribu kuwashirikisha watu wa karibu na mume wake. Nadhani atapata muafaka.
Namtakia kila la kheri.
 
Kutoa mimba si suluhisho la tatizo. Ninachoweza kumshauri ni kujaribu kukaa na mume wake, amueleze madhara ya kitu wanachotaka kukifanya.
Ikishindikana ajaribu kuwashirikisha watu wa karibu na mume wake. Nadhani atapata muafaka.
Namtakia kila la kheri.

mkuu hili usemalo ni sahihi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom