DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
- Thread starter
- #21
Usije ukakuta huyo bwana tayari ana hawara yake ana mimba nje huko so anaona ni mzigo kulea mimba ya nyumbani na ya nje
Maana sioni haja ya mtu kusema kuwa hayuko tayari kulea mimba yake na anashauri kabisa wakatoe mimba mke na mume wakatoe mimba ambayo imeinfia kwa uhusiano halali kati yao wawili
Na mtoto ana miezi nane ukijumlisha na umri wa mimba ya pili miezi tisa mtoto wa kwanza atakuwa na mwaka na miezi mitano ambayo hata kama ni kula anaweza kuwa ameshafikia kupewa na uji na vyakula laini
Ahhh hapo bana kuna issue zaidi ya tunayoelezwa hapa
Inawezekana mkuu.