reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,932
mmmm hilo sijajua mana mm siku nimenunua tu nika update, na hapa natumia allmost full day ndan ya 4GNasikia uki update android version 6 haikai tena na chaj
mmmm hilo sijajua mana mm siku nimenunua tu nika update, na hapa natumia allmost full day ndan ya 4GNasikia uki update android version 6 haikai tena na chaj
Habari zenu wakuu
Nataka kununua smart phone yenye uwezo wa kudumu na charge kwa muda mrefu ukiachilia mbali maTECNO na maItel naomba ushauri ninunue simu ipi?
Unatumia android version ngapi nowmmmm hilo sijajua mana mm siku nimenunua tu nika update, na hapa natumia allmost full day ndan ya 4G
hio ya 6.0.1Unatumia android version ngapi now
Mm hiyo simu nataka ninunue nataka nijue vitu vifatavyo.....hio ya 6.0.1
Mm hiyo simu nataka ninunue nataka nijue vitu vifatavyo.....
1.haina tatizo la kupata moto
2.Ubora wa camera
3.Na jee haina tatizo la ku lag
, ila hzo ulizotaja hakuna hata moja, hata kukarbiaNyembamba kvp,nashukuru lknBaba nimejarb kutafta tatzo hata moja nikupe, nimekosa, labda tatzo la uwembamba![]()
, ila hzo ulizotaja hakuna hata moja, hata kukarbia
Mkuu! Ukiishaiweka mkononi nitakucheck unipe mwongozo nami niipate.Nimeagiza Xiaomi Redmi note 4 aliexpress kwa $ 161 (plus shipping costs) kwa Top rated seller kule itakuwa Bongo by 25 april 2017....
Kesho jioni nichek maana majaliwa kesho mchana naenda kuichukuaMkuu! Ukiishaiweka mkononi nitakucheck unipe mwongozo nami niipate.
Niliwahi ipata kwa 35,000/=MwanzaDah nina sumsung galaxy s3 ya kitambo kidogo. Betri Ime collapse kabisa. Naweza pata betri og na kwa bei rafiki?!
Vp ubora wake?Niliwahi ipata kwa 35,000/=Mwanza
SmartVp ubora wake?
Kaka niambie,ushaiweka mkononi?
Mkuu! Hizo Gionee na Oukitel hapa tz naweza zipata wapi na vipi price zake?Zinazopatikana hapa Tanzania ni kampuni za Asus, ZTE, Lenovo, Samsung, Sony, Xiaomi, Oukitel na Gionee, kama ya kununua nje ya nchi siyo lazima uagize kutoka Asia au Ulaya, hata kwa jirani zetu Kenya zinapatikana, ikiwezekana hata Nigeria.
Gionee utazipata kwenye maduka ya mtandao wa Smart Tanzania na maduka ya Kariakoo, Oukitel utazipata maduka ya Kariakoo.Mkuu! Hizo Gionee na Oukitel hapa tz naweza zipata wapi na vipi price zake?