Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Nafikiri nyie ndiyo mtumie akili.... Matumizi ya condom ni kwaajili ya kujikinga na magonjwa ya Zinaa ikiwemo HIV na uzazi wa mpango.
Kutumia au kutokutumia haina uhusiano na kipimo cha mapenzi kati yenu.
Kwa akili hizi za kwamba huyu tunapendana sana hatutumii condom ndiyo inawafanya muambukizwe HIV na Gonno kizembe
Hivi umeelewa au unajibu tu?
 
Dah! Hili lishakuwa tatizo kama la upungufu wa nguvu za kiume,wanandoa wengi wanakufa na tai shingoni ..... ila wengi mapenz yashakufa
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Ukishalala naye wiki 2 kulala peke yako utakuwa hautaki siku akidafir utatamani kulala na midori
 
Sidhani kama unaenjoy unapofanyanaye sex na tatizo litakuwa hapo tuu.
 
Hapa inawezekana wewe n tatizo na sio mkeo.. Ndoa ni taasisi mkuu, ikiongozwa kwa mihemko hutoboi.
 
Labda alikuroga umuoe sasa dawa zimeisha kwenye akili yako ndo unastuka
 
Aisee kichwa cha familia umeyumba, fanya utafiti jinsi ya kuokoa ndoa yako, aisee ww nd DHAIFU kabisaa
 
Kweli moyo wa mtu kichaka,laiti mkeo angejijua kua humpendi saivi angechukua hatua.Jitahidi kumtafuta hata Chriss Mauki mtaalamu wa saikologia anaweza kukushauri hili tatizo ulilo nalo.
 
Umenikumbusha kibao cha R.KELY "how do I tell her" Pole sana mkuu.
 
Weka picha
Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza

Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
 
Hongera kwa kuoa mke usiempenda! Naona madawa yameanza ku expire omba asikugundue...
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Haya maswali huwa najiuliza sana hasa hili la kulala na mtu wakati nimeishazoea kulala peke yangu
 
Back
Top Bottom