Ushauri: Sijui kutongoza

Hiyo ndo approach nzuri sasa. Mwenyewe nmekua kwenye mahusiano zaidi ya mara 5 na sijawai kutongoza ilitokea tu
Cc: Evelyn Salt
 
Kuna watu bado mnatongoza duu wenzenu tunawala kwanza ndo tunatongoza napo very rare
Inshu uwe na mkwanja tu
 
Kunywa damu mbichi, tafuna na muarobaini changanya na asali iliyoiva sagia na vitunguu swaumu pamoja na magadi soda yaliwekewa karanga kavu na mayai ya bata mzinga yenye manyoa ya sungura mabadiliko ndani ya siku tatu tu, usisahau kuleta mrejesho kwa faida ya wachovu wenzio.
 
Mtafute harmorapa umuulize njia anazotumia kung'oa watoto wa mjini kwa kasi ivo nadhani itakusaidia
 
OK usiogope wadada..kua nao karibu kama rafiki wa kawaida..hayo mambo mengine huwa yanakuja tu..
 
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina tatizo moja la kushindwa kutongoza mwanamke wa aina yoyote, msaada wenu jamani, nifanyaje?
Ila unaweza kuja kuandika JF. Jikaze mtoto wa kiume.
 
Ungempiga konzi,kofi halina uzito kwa udhalilishaji aliotufanyia.
 
Jenga urafik tu hayo mengine yanajipa yenyewe... Sijawah tongoza toka nizaliwe hii style ya kujenga urafik na kuchat ndio nilikuwa naitumia.Hata mke Wangu nimempata kwa njia hii .Mkiwa mna chat tupia tupia vineno vya uchokoz akiwa kauzu achana naye huyo sio wako...anaye kupenda naye atakuchokoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…