Ingia tu Insta au hata youtube ana channel yake. Andika boaz mkumbo utamuona. Then soma.makala zake mbalimbali af ukiona unahitaji zaidi wasiliana nae personally.Asabte kwa ushauri ila kama hutojali naomba mawasiliano ya uyo boaz
Mbona unamcheka kijana...huoni unazidi kumuumiza..Mruhusu mkeo aje kwangu atashika ujauzito alafu mtoto atakuwa wakwenu Mimi ninao wananitosha
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Una special seat mbinguniMiaka miwili bado midogo sana kwa ndoa yenu na wala usiwaze kuzaa nje kwa sasa.
Mwenyezi Mungu yupo na wenye subira.
Kama mmeshafanya vipimo na pia mmetumia dawa basi nakushauri mueleze mkeo pia asiwe na mawazo sana ya kuwa na mtoto kwa muda wote na wewe pia wazo hilo ondoa kichwani mwako nyie jipeeni haki ya ndoa yenu kama inavyotakiwa na huku mkiwa na amani kabisa kwenye mioyo yenu.
Hakika haitaweza kupita mwaka bila kuona majibu.
Kwenye haya mambo ya uzazi mkiweka panic huwa inakuwa tofauti sana matokeo mnayoyawaza, kama mmeshahangaikia inatosha tulieni kwa mwaka mzima huku mkijua ratiba ya mzunguko wa mkeo ukoje.
Panic mode kama uliyonayo wewe ni mbaya sana usifanye jambo kwa muhemko tulia miaka 31 bado si mingi sana kwa baadhi ya watu tunaowafahamu wamepitia ndoa zao miaka 12-16 ndio wanakuja kupata watoto.
Na mara nyingi watu wanaochelewa kupata watoto huwa Mungu anawapa baraka unakuta uzao mmoja au miwili ni mapacha hivyo unajikuta unawatoto wengi katika kipindi ambacho haukutarajia.
Usizalishe nje kwa sasa mpe moyo na mfarije na mtoe shaka mkeo na mkabidhini Mungu kilio chenu.
Huyu jamaa miaka 31 ana haraka sana. Mke wangu alipata ujauzito baada ya miaka 9.Mwaka juzi umefunga ndoa..Leo unakata tamaa...
Mi nna ndugu yangu anapewaga maono ndotoni mmea mmoja anaujua mwenyewe anawachemshia watu anawapa for free na mimba wanashika.
Ameshasaidia mpaka mabosi government wake zao.marafiki nk.
Usikate tamaa mapema.kuna wenye miaka kumi hawana watoto
Unaitwa latana camara . Nisaidie pa kuupata mkuu maana huku hakuna.
Umeandika upumbafu gani leo jpili umkule mtot wakoBalaa wapi bwana...wewe unadhani mie kwa ugegedaji wangu huu nijaribu kuzaa sii karma itahakikisha napata mtoto wa kike ili na mie nisikie uchungu jinsi vihandsome boy vitakavyokiwa vinavyo mpelekea moto mbususu yake.
Au mbaya zadi naweza nikamkula mwenyewe hiyo mbususu kama ni mzuri sana
ThanksIngia tu Insta au hata youtube ana channel yake. Andika boaz mkumbo utamuona. Then soma.makala zake mbalimbali af ukiona unahitaji zaidi wasiliana nae personally.
Pia ana kitabu kinaitwa sayansi ya mapishi if sijakosea. Kina muongozo wa vyakula.
I had a friend alikua na the same problem kama ya wife ako. Akaanza kufuata huo utaratibu plus mazoez. Uzito ukaanza kushuka, by mwez wa 3 akaconceive. Mpaka sa hv ana mimba kubwa tu
Ahaa yatakuja majambaxi ya kike hapa yaninyonye hadi damuWeka tangazo lako watakuja mimi sio inkyubeta
Sasa kama mzuri kwa nini nisichakate mbususu yake?Umeandika upumbafu gani leo jpili umkule mtot wako
Otherwise would be very dull dnt u think
Hapana mkuu,ni lazima jamaa ajaribu kwa wife tena huenda Mungu akatenda akashika mimba.Mungu wetu hachelewi wala hawaiKwanini isiwe sasa ukajifungua mwakani?
Ndo ustaajabu ya MussaWengine wanawakimbia watoto wao , Na wengine wanatamani kuwapata watoto
1.anakitu inaitwa mirija imezibaHajawai kutoa mimba yoyote ila hali ya kutokuona period hadi miez mi 3 ni hali aliyokua nayo toka zamani . Alifanyiwa vipimo akaambiwa ana vile viuvimbe vidogo ( ovary cyst) ambocho doctor halisema hakina madhara naxwadada wengi huwa navyo. Alipewa dawa za kumeza ili ku balance hormone (bigomet) ila bado period ibapitiliza.