- Thread starter
- #21
===Mkuu hapa naona umeingia chaka, kuna service gani tunazonufaika nazo, zaidi ya ile ya kula, kulala bure na kichapo juu! labda kwa miaka ila ya zamani, sidhani kwa sasa kama zipo
Ukijiongeza kidogo tu utanielewa. Kuna service hapaswi kupata mtu ambaye siye mtanzania. kuna nyadhifa za serikali ni exclusive kwa watanzania tu. So kuwa na cheti cha kuzaliwa kinakupa haki ya kufaidika... so simaanishi kwamba lazima upate