Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Aende akasimamie miradi ya baba yake si ana kiwanda cha maziwa na mayanga contraction na ile kampuni yao ya clearing and forward ambayo ina tawi hadi Rwanda aende akazisimamieHuyo kijana amtafutie permanent job kwenye taasisi moja safi inatosha (like BOT, TRA & TCRA)
Apate uwezo/uhakika wa kumtunza Mama yake na Bibi yake