Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 686
- 1,360
Katika kubadirisha viongozi wa nchi kila baada ya miaka mitano au kumi, ni bora kila Rais aje na Ajenda Kuu moja ya kutekeleza kwa miaka kumi zingine zikiwa ajenda ndogondogo.
Mfano kwa mwaka 2025-2035 Ajenda Kuu ya Rais ajae iwe ni sekta ya umeme, kwahiyo miaka yake yote kumi afumue na aweke mifumo ya kisasa ya kusambaza umeme reliable nchi nzima na kutafuta solution ya kudumu ili umeme usikatike tena kwa miaka kumi inawezekana.
Vivo hivyo kwenye sekta nyingine kama miundo mbinu (kama alivyofanya mzee Magufuli), madini, afya, elimu na nyinginezo. Hii itatusaidia kama nchi baada ya miongo mitano au kumi tutakuwa tuko mbali sana.
Nawasilisha.
Mfano kwa mwaka 2025-2035 Ajenda Kuu ya Rais ajae iwe ni sekta ya umeme, kwahiyo miaka yake yote kumi afumue na aweke mifumo ya kisasa ya kusambaza umeme reliable nchi nzima na kutafuta solution ya kudumu ili umeme usikatike tena kwa miaka kumi inawezekana.
Vivo hivyo kwenye sekta nyingine kama miundo mbinu (kama alivyofanya mzee Magufuli), madini, afya, elimu na nyinginezo. Hii itatusaidia kama nchi baada ya miongo mitano au kumi tutakuwa tuko mbali sana.
Nawasilisha.