Ilo ni vampireKausha Damu ni hatari kwa afya ya mwanaume....
Uwe unaleta nyuzi kama hizi za kujifunza, na siyo za umalaya na mama J, sasa wa kwanza kukosea ni mwanaume, kwanini uzae nje ya ndoa, ndomaana Mungu kakataza kwasababu ya changamoto kama hizi.Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.
Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.
Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.
Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.
Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.
Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.
Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.
WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,
ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G
Nawasilisha
Akijibu nitagkwani ungeiweka story yote kwene page moja ungepungukiwa na nn
Hivyo ni vitu viwili tofauti.Mkandarasi nilimaanisha injinia (mhandisi)
kwani ungeiweka story yote kwene page moja ungepungukiwa na nn
Na Mimi nahisi hivo, anatengeneza mazingira aongewe pesa za matumiziApeleke watoto KWA wazazi wake kama wazazi wanaeleweka, awawekee mdada wa kaz I awahudumie ,avunje aina zote za mawasiliano, aende ustawi aeleze apewe haki ya malezi,
Maana wanawake ni wachawi sana,usikute anapima upepo aongezewe hela
Duh! Ilkua kuaje mkuu?Unajua kuna kitu nimegundua asilimia kubwa wanawake wanachangia kutelekezewa watoto hapo sijaona kosa la jamaa hila ni huyo mwanamke anatumia nguvu kubwa kufanya jamaa amtelekeze hii Mimi imenikuta kuna demu kanitangazia nimekataa mtoto na matusi ya nguoni juu
Mshikaji ana mzazi/mlezi wa kike aliye hai na mwenye nguvu ya kumsaidia kulea watoto mpaka wafikie umri wa kuanza shule? Kama ndiyo, awaombe wamsaidie. Atoe taarifa kazini na ustawi wa jamii wasitishe makato, then aachane na huyo malaya.