ushauri plz

ushauri plz

holooh

New Member
Joined
May 18, 2013
Posts
3
Reaction score
0
nilikuwa na mpenz wangu tulipenda sana.mwanzo aliniambia alikuwa na mpenz wake.waliachana coz ya tabia za ule dada.hata mama ake mzaz hakumkubali.marafiki zake pia hawakupenda.kuna cku uyo dada alienda nyumban kwa mpenzi wang alimkuta anaoga akachukua namba yangu na kuniomba niachane na mwanaume wake nikakubali.nilipomweleza mwanaume akampigia cm akamgombeza na kumwambia ache kunisumbua.tukaendelea na mapenz yetu.huu ni mwez wa tatu sasa amebadilika hapokei c
m zangu anajibu sms zang kwa ufupi.nikimuliza anasema kazi nyingi.nikawauliza marafiki zake kama amerudiana na mwanamke wake wanasemaa hawajarudiana.mwanaume anasema nisipanic mambo yake yakika sawa atakuwa sawa.wiki tatu za nyuma nikaamua kukaa kimya.sasa kuanzia juzi ananitumia sms za kunisalimia.nisaidieni kumwelewa mi nimeshindwa.
 
Sasa usaidiwe nn hapo? Si alikwambia yupo busy? Kama anakutumia mesej za.salam jibu tu
 
mapenzi ni kupanda na kushuka sahau yaliyopita liendeleze penzi lako kwake tena mpende kweli tena ikiwezekana baada ya kuisoma hii post mpigie simu na umkaribishe chakula cha usiku mpnza wako.......huu ndio ushauri wangu kwako
 
Huwezi kukaa bila kuliwa papuch mpaka ukaja kuolewa halafu nani alikwambia kwamba ndugu wanaweza kumuachanisha mtu na mpenzi wake, ulishawahi kukamata ndege akaruka akakuachia manyoya chukua hatua.
 
nilikuwa na mpenz wangu tulipenda sana.mwanzo aliniambia alikuwa na mpenz wake.waliachana coz ya tabia za ule dada.hata mama ake mzaz hakumkubali.marafiki zake pia hawakupenda.kuna cku uyo dada alienda nyumban kwa mpenzi wang alimkuta anaoga akachukua namba yangu na kuniomba niachane na mwanaume wake nikakubali.nilipomweleza mwanaume akampigia cm akamgombeza na kumwambia ache kunisumbua.tukaendelea na mapenz yetu.huu ni mwez wa tatu sasa amebadilika hapokei c
m zangu anajibu sms zang kwa ufupi.nikimuliza anasema kazi nyingi.nikawauliza marafiki zake kama amerudiana na mwanamke wake wanasemaa hawajarudiana.mwanaume anasema nisipanic mambo yake yakika sawa atakuwa sawa.wiki tatu za nyuma nikaamua kukaa kimya.sasa kuanzia juzi ananitumia sms za kunisalimia.nisaidieni kumwelewa mi nimeshindwa.

Sound like my life story,km kweli unampenda kaa naye 2...
 
hahha kumbe wajanja walishafanya kweli ndio aja kulia hapa...mhm ndio wanaume wafanyavyo bwana..gegeda tupa kule

Ukiona anatafutwa ujue jamaa anataka kugegeda tena!
Na kwa mtindo alokuja nao huyu dada lazma mgegedo, hamalizi wiki!!
 
nilikuwa na mpenz wangu tulipenda sana.mwanzo aliniambia alikuwa na mpenz wake.waliachana coz ya tabia za ule dada.hata mama ake mzaz hakumkubali.marafiki zake pia hawakupenda.kuna cku uyo dada alienda nyumban kwa mpenzi wang alimkuta anaoga akachukua namba yangu na kuniomba niachane na mwanaume wake nikakubali.nilipomweleza mwanaume akampigia cm akamgombeza na kumwambia ache kunisumbua.tukaendelea na mapenz yetu.huu ni mwez wa tatu sasa amebadilika hapokei c
m zangu anajibu sms zang kwa ufupi.nikimuliza anasema kazi nyingi.nikawauliza marafiki zake kama amerudiana na mwanamke wake wanasemaa hawajarudiana.mwanaume anasema nisipanic mambo yake yakika sawa atakuwa sawa.wiki tatu za nyuma nikaamua kukaa kimya.sasa kuanzia juzi ananitumia sms za kunisalimia.nisaidieni kumwelewa mi nimeshindwa.

Pole dada.......!
Mchunguze vizur huyo shem....,mwitikie salam zake lakin kuwa makin nae.
 
Ha ha ha huchoki kugegeda?mzima lakini?[/QUO

papuchi haichokwi.....wanaochoka kugegeda its becoz wanagegeda papuchi moja all the tym. mie mzima vipi lini sasa twaenda sauz kula bata?
 
Tutaenda dec saivi majukumu ya kiofc yametait

we we we!!! unajipenda au unatania...december kule sii summer na warembo wanatoka chicha balaa vimini sio vimini its just a sea of ass, thighs and cleavage...nitakubwaga bora twende sasa wakati wa winter kila mtu is all covered up lol
 
Back
Top Bottom