Ushauri plz

Ushauri plz

prax

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
27
Reaction score
8
Hello wanajf,mimi nina bachelor ya public relations,nimetafuta kazi nahisi kuchoka cjapata,nawaza nipursue masterz labda itanisaidia kupata kazi kwa urahisi,but sitaki kuchukua pr tena nataka nichukue finance or marketing!naomba mnishauri kama hizi course kwa pamoja zitasaidia kupata kazi kwa wigo mpana au they dont match!thanks
 
Kazi ni mungu anatoa,piga goti mungu atakusaidia
 
pole sana! ila kazi zenu ningumu kupatikana,ila nakushauri uwe unaomba ata receptionist,excutive assistant,front desk kama upo dar jaribu kupitapita kwenye vihotel unaweza kupata kuliko kukaa tu nyumbani,ukisubiri kazi kubwaa
 
Dogo if it meant to be it will be tulia muombe mungu utapata kazi Masters bila experience yyte utajichosha tu....utapata kazi kijana zamu yako itafika
 
Asanteni kwa ushauri wenu,namuomba Mungu sana anisaidie kupata kazi,then nitajiendeleza baadae.
 
Back
Top Bottom