ushauri pliz: Nafikiria divorce


thanx alot.

aisee sijui wewe ni mdada ama kaka lol.

haya ndo mawazo niliyokua nayatafuta, hayatengamani na upande wowote sio mijitu inayokuja hapa kujiongelea mavi tu
 

yeah ur right, umenipanua akiri kimtindo. BIG THANX
 
thanx alot.

aisee sijui wewe ni mdada ama kaka lol.

haya ndo mawazo niliyokua nayatafuta, hayatengamani na upande wowote sio mijitu inayokuja hapa kujiongelea mavi tu

Ni mkaka bhana.
 
Dada naona unakoelekea unaweza hata kumuwekea sumu mumeo

HAPANA TENA TEMA MATE CHINI WEWE, MI SIO MURDERER.

Mume wangu ni baba wa watoto wangu na akiumwa namhangaikia kwa gharama zote hata kama hamna hela bora nikazitafute kwa kidumu nimtibie yeye1

Namuogopa mungu na ninadhamini u-binadamu.
 

ndoa yangu ina amani ila furaha hakuna, yaani ni kama hii nchi yetu, hakuna vita lakini hakuna furaha! Hii imekaaje, si ndo maana wabongo wamchoka tu hamna maendeleo ya maana basi hata mie ndo hivyo hivyo.

tumeshaongea sana na wazazi ila ndo tukitoka kwenye kikao anaenda kumwambia hawara yake yoteeeee yaliyozungumzwa kwenye kikao!

ah, maamuzi nitachukua taratibu hapa napata maoni, yani nimeshaanza kubadilika taratibuuuuuu
 
hiyo comment yako sina uhakika kama umeipaste from somewhere or umeiandika from your head.

nina doubt tu maana mh

Marriage ni chuo kama vyuo vingine, tofauti ni kwamba Lecturer ni wewe na mwenza wako. Yaani wewe ukimwaga lecture mwenzio anakuwa student, halafu kibao kinageuka, wewe unakuwa student yeye lecturer. Kwa mantiki hiyo lazima uwe na vitabu vya rejea na notes. Ni katika kupitia mojawapo ya notes zangu nimekumegea kidogo.
 
Mh!hili nalo neno!

neno lip hapo?

eti ARV ndo nini na AIDS ndo nini hasa maana mie siwezi jua maana ya magonjwa ambayo niko 100% siwezi yapata.

uliona wapi crazy gal like me akaenda kavu kavu, thubutuuuuuuu hata kukiss navaa mfuko wa lailoni.
 

sasa nimeamini, hopefully utakua mwanaume wa ukwee sio suruali.

hongera
 

you sound too harsh.........,
its kinda like you have some conflict with ayanda
 
Last edited by a moderator:
This comment has been deleted by Paw
 
Last edited by a moderator:
Akili Za karanga, watu wengine 101% ya ubongo vichwani wanaamini Ndoa ni all about kutomban..! Sorry. Ukiona mpumbavu anaelekea shimoni mpishe.. We jiandae kuchukua daftari Na kalam ready Kwa zoezi la rambirambi kisha unapiga panga la nguvu unaondoka zako.

Mawazo ya kuachana (devorce), ni ya wendawazimu Na ya wapumbavu SIO wajinga. Mchakato wa ujinga unaishia mkishafunga ndoa. Kabla ya Kifunga Ndoa ndipo unapoweza kuzichanga karata zako uingie au usiingie, umtose au usimtose. Ukishaingia Umeingia angalia vipaumbele vingine vinavyojenga Ndoa. Mie Hata ushauri Kwa upumbavu sinaga.. Devorce uoane moto wako ndio utajua mapepo yako yamekutosea kuzimu.
 

wewe una akiri nyingi sanaaaaaaaaaaaaaa naomba nikuulize eti ulikuwa unakuwaga wa kwanza darasani maana una akiri balaaaaa.

ila sielewi why unapoteza muda kuandika comment ndefu wakati ayanda mwenyewe mwendawazimu?

naomba wenye akiri nyingi kama za huyu, wasiandike kitu tafadhali.
 
nimegundua tatizo lako kubwa ni kwa sababau hujamsamehe mumeo. We dada wanaume, ni viumbe wasioleweka na hata wao sa nyingine hawajijui. msamehe tu, muanze mpya. mpende, hata huyo wa 42 yrs ana kasoro nyingi ni kwa vile huishi naye. hata kukutaka wewe, ni mbaya pia maana anamsaliti mkewe, kama wewe mumeo alivyokusaliti.
 

Ayanda, kama tulijadili sometime back, au mie tu na maruerue yangu? Anyways, isije ikawa kuna nguvu ya giza imemfunika huyo bwana, kupitia kwa huyo mlimbwende? Huwa sipendi kuamini 'giza', ila huwezi jua mwaya....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…