ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

ayanda

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
1,340
Reaction score
750
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
 
Ndio mambo ya kutaka ndoa ili nawe uonekane umeolewa. Ndoa ya aina hiyo ni sawa na kuwa jela au bora kuwa pekee yako kuliko kujisikia mpweke ambapo unamwenzio.

Hii inaonyesha kuwa mmeshachokana huyo kaka wa 42yrs kama ana ndoa yake utaishia kugegedwa tu au kuwekwa kimada iwapo utaamua kuachana na mumeo wa sasa.

Kaeni myazungumze kuliko kupotezeana time, ni bora kujitoa kwenye ndoa hiyo kwa ajili ya kuweka nafsi yako huru na si kwasababu ya kuishia kuwa nyumba ndogo ya mtu mwengine.

Ikiwa huyo jamaa nae ataitosa ndoa yake ili muwe pamoja itakuwa jambo la maana ikiwa hamtoafikiana usikubali kuwa mjinga, huyo alifata kiburudisho.
 
unataka kumuacha mumeo kwa sababu haumfeel? manake ni wazi cheatings zake hazijakukera.
ama unataka kumuacha kwa sababu unatakwa na huyo ex wako? ambae still anampenda mkewe na kuja kukubamba ni hadi aoteshwe. tafadhali fafanua nielewe kabla sijakushauri mibhange.
 
Ama niko mvivu sana leo ama sijui,maana andiko lako ni fupi sana lakini nadhani nimeshindwa kukuelewa vema, labda nitarudi.

Ila usivunje ndoa, maana hata huko unakotaka kwenda utaivunja pia.
 
Pole. Usione wapenzi wameshikana mikono njiani ukadhani wanapendana sana. Wengi wana pretend. Toa kasoro zilizopo kwenye ndoa yako na ikiwezekana jitathmini na kujikagua muone mlikosea wapi.

hivi hujanielewa niliposema sioni kasoro yeyote ya hii ndoa?

nimeshajitadhimini na nimegundua tuliwahi sana kufunga ndoa and maybe kulikua na alot of pressure maana tulikua tumeshazaa mtoto mmoja kabla.
 
una watoto wangapi, busara ni kuchukua likizo ukapumzike kwenu kabla hamjaachana, then uwaze na kuwazua ukiwa mbali naye.

tuna watoto wawili.

yaani tunalala pamoja ila ni kwamba tupo mbali mbali tayari.

mnielewe kwamba hatugombani infact tunaongea fresh tu stori, yaani tukitoka job tunaketi sebuleni na kupiga stori tu ama siasa au mengine ya kijamii tu. Inshort we dont feel each other, na mi napenda wanaume weusi sana and yeye ni mweupe na pia na yeye atakua anazimikia size fulani ya mwanamke maana huyo hawara yake ni umbo tofauti na mimi.

yaani i dont understand this kabisaaaaaaa. i dont love him wala sitaki nizeeke nae, nataka kuwa kwenye ndoa ambayo nitamuonea wivu mume wangu maana huyu hata wivu nae sina.
 
Ama niko mvivu sana leo ama sijui,maana andiko lako ni fupi sana lakini nadhani nimeshindwa kukuelewa vema, labda nitarudi.

Ila usivunje ndoa, maana hata huko unakotaka kwenda utaivunja pia.


ndo maana sijielewi nitaishi hivi kwa muda gani? am jus 30, i need to make my life wakati bado mapema
 
Poor gal. Maybe you need a break from each other. Kama holiday. Unajua sisi Waafrika hatuna desturi ya kupeana breaks. Unapokuwa mbali na mwenzio unakuwa una miss kitu ndio maana hata walisema 'ABSENCE MAKES THE HEART FONDER'. I believe you do not have enough grounds to file for divorce. Mlani shetani mpenzi wangu.
 
Kama unapenda wanaume weusi ilikuwaje ukamkubali huyu...pls naomba unijibu maswali yangu hapo juu kuhusu huyo jamaa yako wa 42yrs
 
unataka kumuacha mumeo kwa sababu haumfeel? manake ni wazi cheatings zake hazijakukera.
ama unataka kumuacha kwa sababu unatakwa na huyo ex wako? ambae still anampenda mkewe na kuja kukubamba ni hadi aoteshwe. tafadhali fafanua nielewe kabla sijakushauri mibhange.

simfeel tena hubby na ni wazi na yeye hanifeel. Cheatings zake zilinivuruga sana mwaka jana na juzi nilikua kama kichaa hivi ungeniona.

ila sasa nilishatadhimini, nikagundua kwamba hanipendi maana huwezi cheat live kiasi kile. Na mie nilikua sina mapenzi sanaaaa kwake tangu enzi za uboy/ugal friend ila nilijua nitampenda sana tu kama atanitreat vema, kumbe maybe na yeye alikua anataka sex tu, maana tuliona baada ya kuzaa mtoto.

anyway, mi nafikiria divorce ili niwe kwenye real marriage bana.

we ndoa gani mwanaume nalala nae kama mwanangu au bro wangu na hata akinivuta sijisikii kabisa na sometimes namwambia wazi amtafute hawara ampe kidogo maana mi simfeel.Yana anajua simfeel, mi huwa ni muwazi sana sinaga uongo.
 
haya bwana hongera. kama haukumpenda toka mwanzo na ukaamua kumuoa. na ikatokea hujampenda tena, mlioana kwa ajili ya mtoto. si uendelee kukaa nae kwa ajili ya mtoto? na wewe haufanyi cheatings za wazi kama yye?
simfeel tena hubby na ni wazi na yeye hanifeel. Cheatings zake zilinivuruga sana mwaka jana na juzi nilikua kama kichaa hivi ungeniona.

ila sasa nilishatadhimini, nikagundua kwamba hanipendi maana huwezi cheat live kiasi kile. Na mie nilikua sina mapenzi sanaaaa kwake tangu enzi za uboy/ugal friend ila nilijua nitampenda sana tu kama atanitreat vema, kumbe maybe na yeye alikua anataka sex tu, maana tuliona baada ya kuzaa mtoto.

anyway, mi nafikiria divorce ili niwe kwenye real marriage bana.

we ndoa gani mwanaume nalala nae kama mwanangu au bro wangu na hata akinivuta sijisikii kabisa na sometimes namwambia wazi amtafute hawara ampe kidogo maana mi simfeel.Yana anajua simfeel, mi huwa ni muwazi sana sinaga uongo.
 
Ndio mambo ya kutaka ndoa ili nawe uonekane umeolewa. Ndoa ya aina hiyo ni sawa na kuwa jela au bora kuwa pekee yako kuliko kujisikia mpweke ambapo unamwenzio.

Hii inaonyesha kuwa mmeshachokana huyo kaka wa 42yrs kama ana ndoa yake utaishia kugegedwa tu au kuwekwa kimada iwapo utaamua kuachana na mumeo wa sasa.

Kaeni myazungumze kuliko kupotezeana time, ni bora kujitoa kwenye ndoa hiyo kwa ajili ya kuweka nafsi yako huru na si kwasababu ya kuishia kuwa nyumba ndogo ya mtu mwengine.

Ikiwa huyo jamaa nae ataitosa ndoa yake ili muwe pamoja itakuwa jambo la maana ikiwa hamtoafikiana usikubali kuwa mjinga, huyo alifata kiburudisho.


my dear nina akiri kuliko maelezo. Niliolewa sababu ya mtoto tu na wala si kingine maana sikutaka kuzaa watoto tofauti, nilikua mdogo ila sasa watoto tofauti sioni ishu ni maelewano tu ya wazazi.

Huyo jamaa wa 42 yrs, hajazungumzia kuvunja ndoa yake na wala sijali avunje au asivunje.

Yaani hii ndoa na kuwa nyumba ndogo ya jamaa ni bora kuwa nymba ndogo kwa real man kuliko wife wa mwanaume ---- tu anayepelekeshwa na hawara.
 
Nachoamini katika mapenzi usifanye maamuzi kwa kuusikiliza moyo na mihemko ya mwili haswa kwenye committed relationship,Bali itumike busara,current and future plan kwa kuangalia pia familia yako na jamii inayokuzunguka kwa uhusiano unaoutaka kwa mshazari na unqchotaka kukitenda, I hope wapo walionielewa!!!
 
tuna watoto wawili.

yaani tunalala pamoja ila ni kwamba tupo mbali mbali tayari.

mnielewe kwamba hatugombani infact tunaongea fresh tu stori, yaani tukitoka job tunaketi sebuleni na kupiga stori tu ama siasa au mengine ya kijamii tu. Inshort we dont feel each other, na mi napenda wanaume weusi sana and yeye ni mweupe na pia na yeye atakua anazimikia size fulani ya mwanamke maana huyo hawara yake ni umbo tofauti na mimi.

yaani i dont understand this kabisaaaaaaa. i dont love him wala sitaki nizeeke nae, nataka kuwa kwenye ndoa ambayo nitamuonea wivu mume wangu maana huyu hata wivu nae sina.


Pole sana dadangu. ila kwa maisha ya sasa watoto bila familia iliyo imara mtawatesa sana! mimi nadhani mliongee hilo kwa faida ya watoto wenu, wekeni ubinafsi pembeni jadilini future!
 
Back
Top Bottom