Ushauri please

mkuu ni Kweli? Au Umeleta Chai
 
Kwanza jifanye unabadili msimamo kwa kujifanya unamuunga mkono. Halfu mdogo mdogo unmuomba Mungu huku ukimsihi apunguze hayo mambo. Kumuacha huwezi. Kausha naye tu as long as haiathiri maendeleo yako.



Sent using my Nokia Torch
 
Sasa mkuu embu funguka mshirikina kiaje anakuloga wewe na watoto wako au, au anatumia ushirikina kwa ajili ya kukuza kipato chake au inakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza jifanye unabadili msimamo kwa kujifanya unamuunga mkono. Halfu mdogo mdogo unmuomba Mungu huku ukimsihi apunguze hayo mambo. Kumuacha huwezi. Kausha naye tu as long as haiathiri maendeleo yako.



Sent using my Nokia Torch
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…