Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Gram ya gold bei inaanzia 90,000/= mpaka 120,000/= inategemea duka la sonara lipo kitaa au kwenye mall. Pia kuna made in Tanzania na Dubai finishing.Akaulizie kwa masonara huko,mfuko wake utaamua.
Mimi mara ya mwisho kuulizia gold ilikuwa 1 gram= 75,000/ Tshs mwaka jana.
Mwanaume ndio unapaswa kuwa na madini ya bei kubwa, ukikwama unajisalimisha kwa sonara unapunguza gram unapewa cash na pete nyingine yenye gram ndogo. Hizi ndio akili za namna ya kuishi mjini na kukabiliana na stress za Ngosha ili usiunganishwe kwenye orodha ya kuishi kama shetani.kitu gold bana, una Bahati dolla imeshuka gram moja leo ni 81 058.14
kama pesa ipo mtengenezee kwa gram 9 kitu kama laki 7....
tumia pesa ikuzoe
duh hapa bei yake si mtaji kabisaNunua princess cut diamond wedding ring.
duh hapa bei yake si mtaji kabisa
Usimdharau Mtu Usiyemjua bhaaa! Huwezijua Anaback Up Ya Watu Gani!Mkuu nakushauri achana na mawazo ya Nyani Ngabu utapotea hiyo ring anayokushauri nzuri iko hadi dollar 7000 around million 15 sasa kwa unavoonekana kamati yako haizidi tsh milioni 3 kwa harusi nzima nakushauri uchukue gold wedding ring na ukishindwa tafuta caption zake.
Oooooh sishangai bei kufikia huko,mwaka jana ilikuwa 75.Gram ya gold bei inaanzia 90,000/= mpaka 120,000/= inategemea duka la sonara lipo kitaa au kwenye mall. Pia kuna made in Tanzania na Dubai finishing.
Mwanaume ndio unapaswa kuwa na madini ya bei kubwa, ukikwama unajisalimisha kwa sonara unapunguza gram unapewa cash na pete nyingine yenye gram ndogo. Hizi ndio akili za namna ya kuishi mjini na kukabiliana na stress za Ngosha ili usiunganishwe kwenye orodha ya kuishi kama shetani.
Mwanaume ndio unapaswa kuwa na madini ya bei kubwa, ukikwama unajisalimisha kwa sonara unapunguza gram unapewa cash na pete nyingine yenye gram ndogo. Hizi ndio akili za namna ya kuishi mjini na kukabiliana na stress za Ngosha ili usiunganishwe kwenye orodha ya kuishi kama shetani.
yani 1ml ninunue Pete!?? Mungu wangu kwa mwendo huu wengine tutaoa kimila tuAndaa kuanzia 1m na kuendelea
Nilikua uko gold cadet1 gram 1 ni 150k talkin of dhahabu safi yani pure goldAkaulizie kwa masonara huko,mfuko wake utaamua.
Mimi mara ya mwisho kuulizia gold ilikuwa 1 gram= 75,000/ Tshs mwaka jana.
Amejipanga kwani ndoa ni vita ama ndoa ni kujipanga kama unaenda kuiba benkiUmejipanga??! Umeamua????? Upo tayari???? Sio siku mbiltatu utuletee Malalamiko ohoo
Kwa Ngabu utajilengesha weeeeeeeeeeeeee,lakini utabakia kula kwa macho tu,chezea Ngabu weweau?I hate you....