Ushauri: Niwe na mwanaume yupi kati ya hawa?

Ushauri: Niwe na mwanaume yupi kati ya hawa?

gilldenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
2,914
Reaction score
3,025
Wakuu habari za mda huu,

Straight to the mada.

Mwenzenu niko njia panda kuna mwanaume nipo nae kwenye mahusiano ni wa mda mrefu kidogo na plan zetu ni kuoana Mungu akijaalia ila mimi ndo nampenda zaidi kuliko yeye yuko kawaida tu hayuko interested na mimi kiivo inaweza pita siku tatu bila mawasiliano.

Kuna uyo mwanaume mwengine yeye sipo nae kwenye mahusiano ila ndo yupo kwenye harakati za kuniingia akilini na vizawadi vya kutosha na anaonesha interest za kutaka kunichukua jumla ila mimi ndo simpendi hata kidogo ila kwa mbali namuona kama naanza kumpenda.

Sasa apa sielewi nimuache yule wa zamani niambatane na huyu mpya au niendelee kumsubiri tu mchumba wangu wa zamani maana nahofia mwisho wa siku nitakosa vyote.

Karibuni kwa ushauri.
 
Angalia wapi unapendwa.

Ila pia angalia wapi unapenda.

Usikilize zaidi moyo wako.

Inawezekana pia huyu wa sasa akawa hakupendi ila ametamani tu akutafune kisha akuteme.

Mwanaume kukupa vijizawadi zawadi na kukujali jali haina maana kua anakupenda.

Usikilize moyo wako.
 
1. Kwajinsi ulivyo andika, nimeweza kungundua kwamba huyo mwanaume wa sasa anakurubuni kwa vizawadi, pamoja na maneno yenye kuangalia nini unapenda (kuolewa) ili aweze kuku funua nguo yako ya ndani.

2 . Wewe binafsi unaonekana ni mwenye tamaa ya vitu, pamoja na haraka/hamu ya kuolewa. Hivyo huyo bwana mpya amesha gundua madhaifu yako.

3 . Sijaona ukieleza sababu za maana hata kusababisha uamini kwamba bwana wako wa mwanzo hana/hainyeshi mapenzi na wewe

Ushauri:
Heri ya shetani unae mjua, kuliko shetani usie mjua.
 
Cha kufanya kwanza huyu wa pili mvulie Nandy yako halafu uangalie pulling yake ilivyo anaweza kukupa vizawadi vidogo vidogo kumbe kazi yake kupima oil tuu km Bill Nas......then baada ya hapo chagua kati yao
Umetisha mzee baba nikisha mvulia nandy yangu afu tufanye kama ya diamond eti....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo akili kumkichwa shoga na nikwambie raha ya mahusiano ni amani na furaha ipatikane na sio kupewa kila kitu ila mwisho wa siku maumivu kila kukicha.

Usihadaike na vizawadi mwaya ukajikuta umetumbukia kwenye moto.
Natamani angetuambia kwanini sasa hivi ndipo anasema/anaona kwamba bwana wake wa mwanzo ni kama hana upendo nae ama hana mpango nae
 
Back
Top Bottom