Ushauri: Ninunue smartphone gani kwa bajeti ya 200,000/-?

Ushauri: Ninunue smartphone gani kwa bajeti ya 200,000/-?

brkchs

New Member
Joined
Oct 17, 2017
Posts
1
Reaction score
0
ninataka ninunue smartphone. nina laki mbili, naomba kujua naweza kupata simu ya aina gani kwa ela hiyo ambayo ni nzuri.
 
Mobile plaza k/koo utapata simu nzuri aina ya tech w4 kwa pesa hiyo
 
Njoo nikupe yngu Samsung S5 nmeichoka tuu nayo Iphone sahv
 
Infinix HOT 4 simu nzuri na utaipenda...baada ya kuinunua leta mrejesho,Nakutakia ununuzi mwema.INFINIX best for all.Your welcome...
 
mimi nauza X-Tigi V_10.
bei ni shilingi laki moja. maelewano yapo.. 0628 380 353
 
mimi nauza X-Tigi V_10.
bei ni shilingi laki moja. maelewano yapo.. 0628 380 353
weka picha basi mkuu.. Maana hzo simu nyngine ni adimu sana mikononi mwa watu... Wanunuzi tupo...
 
ninataka ninunue smartphone. nina laki mbili, naomba kujua naweza kupata simu ya aina gani kwa ela hiyo ambayo ni nzuri.
ingia zoom angalia smart phone na price zake then fanya maamuzi mwenyewe
 
Mi ninayo Samsung galaxy not 3 nitafute whatssap +258842215185
 
Back
Top Bottom