Wakuu, Ni naomba ushauri juu ya Aina ya gari la kununua nikija Tanzania na vigezo ni Hivi,
1 . liwe na fuel consumption Nzuri.
2. Lisiwe Dogo sana, kama passo mfano,
3. Lowe na mwendo Mzuri na
4. Uwezo wa Kwenda Masada marefu.
Misha edit mkuu. Be positive ,toa ushauriHilo gari "LOWE" na mwendo mzuri na uwezo wa kwenda "MASADA" marefu haki ya mama halijatengenezwa usije ukaongopewa humu Jf
Sasa kumbe ushauri umeuelewa na umeufanyia kaziMisha edit mkuu. Be positive ,toa ushauri
Wewe mara ya mwisho kumiliki chombo cha moto ilikuwa ni pasi ya mkaa sio baisikeli.Sasa kumbe ushauri umeuelewa na umeufanyia kazi
U negetative uko wapi hapo ?
Hilo la gari sina msaada watakuja wadau
Mimi mara ya mwisho kumiliki chombo cha 'moto' nilikuwa na Phoenix baiskeli
Habari yako mkuu,Wakuu, Ni naomba ushauri juu ya Aina ya gari la kununua nikija Tanzania na vigezo ni Hivi,
1 . liwe na fuel consumption Nzuri.
2. Lisiwe Dogo sana, kama passo mfano,
3. Liwe na mwendo Mzuri na
4. Uwezo wa Kwenda Masafa marefu.
Dah wewe jamaa unajua sana ,umenipatia kweliWewe mara ya mwisho kumiliki chombo cha moto ilikuwa ni pasi ya mkaa sio baisikeli.
Habari yako mkuu,
Nakujibu swali lako ingawaje kuna watu ndani ya hii forum kazi yao ni kuzinduka na kuvuruga mawazo ya watu.
Pamoja na kwamba hukueleza gari ni katika group gani 2wheel au 4wheel pia bei za gari zinapitana.
Gari iliyo ya kawaida sana na hakuna inachokosa na consumption yake ni nzuri ni TOYOTA CARINA Ti model AT 212 au TOYOTA Rav 4 ....model SAX 11 isipokuwa jitayarishe kwa Kodi sababu hizi gar ni za miaka mingi iliopita.
Damping fee ni kubwa lakini ndio gari ya mtu wa kawaida sasa hatuelewi madhumuni na malengo ya hizi serikali zetu ni nini.
Vipi kuhusu NISSAN MURANO NA NISSAN DUALIS, gari hizo binafsi nazipenda sana lakini ni gari adimu sana mtaani inaelekea watu hawazipendi. Naomba kujuzwa tatizo au uzuri wa gari hizo. Asante.Habari yako mkuu,
Nakujibu swali lako ingawaje kuna watu ndani ya hii forum kazi yao ni kuzinduka na kuvuruga mawazo ya watu.
Pamoja na kwamba hukueleza gari ni katika group gani 2wheel au 4wheel pia bei za gari zinapitana.
Gari iliyo ya kawaida sana na hakuna inachokosa na consumption yake ni nzuri ni TOYOTA CARINA Ti model AT 212 au TOYOTA Rav 4 ....model SAX 11 isipokuwa jitayarishe kwa Kodi sababu hizi gar ni za miaka mingi iliopita.
Damping fee ni kubwa lakini ndio gari ya mtu wa kawaida sasa hatuelewi madhumuni na malengo ya hizi serikali zetu ni nini.
Wabongo wamekariri Toyota ndio maanaVipi kuhusu NISSAN MURANO NA NISSAN DUALIS, gari hizo binafsi nazipenda sana lakini ni gari adimu sana mtaani inaelekea watu hawazipendi. Naomba kujuzwa tatizo au uzuri wa gari hizo. Asante.