AmeeeeenUnaweza kumchunga kiumbe aitwae mwanamke!brother kunywa maji ukae kwa kutulia.mpe uhuru lakini usiruhusu akakuvunjia heshima[emoji1635][emoji3344]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh sana lolKwakweli Sina Cha kukusaidia maana mi mwenyewe ndo walewale, akimtizama mwanamke na nikaona natamani hata kumpofusha huwa namziba macho kwa mikono, akimgusa mwanamke natamani nikate mikono huwa naishia kumvuta mkono, akisifia muonekano wa mwanamke natamani nimfanye bubu lakini namuangalia jicho flani hivi nabadili mada ama namziba mdomo,, nimepatwa
Nimempenda mwenyewe, penye tamu lazima na chungu iwepo ili kubalance mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh sana lol