Me too JF-Expert Member Feb 9, 2015 7,325 9,186 Jul 9, 2016 #21 kuna wengne wanatumia kigezo cha mtu w pembeni il kukupima upendo wako.
God'sBeliever JF-Expert Member Sep 1, 2015 5,790 3,020 Jul 9, 2016 #22 ndo hivo mkuu huyu jamaa aliepost fb anajua kwamba ana mtoto kumbe sio. watanzania kiasi flani wanalea watoto ambao sio wao.
ndo hivo mkuu huyu jamaa aliepost fb anajua kwamba ana mtoto kumbe sio. watanzania kiasi flani wanalea watoto ambao sio wao.
M Mndengereko One JF-Expert Member Apr 26, 2015 323 210 Jul 9, 2016 Thread starter #23 realoctopus said: Alikuona bwege tangu mwanzo,sasa anataka kuutumia vilio huo ubwege wako,la msingi ulilo fanya,ni kuja huku JF angalau ubwege umekuisha Click to expand... mkuu unitukana tena
realoctopus said: Alikuona bwege tangu mwanzo,sasa anataka kuutumia vilio huo ubwege wako,la msingi ulilo fanya,ni kuja huku JF angalau ubwege umekuisha Click to expand... mkuu unitukana tena
T torvic JF-Expert Member Mar 9, 2016 3,475 7,835 Jul 9, 2016 #24 wana jf bwana mnavyoitaja iyo DNA utadhan sh. 500 za kitanzania