Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

Princessor

Member
Joined
Aug 30, 2015
Posts
9
Reaction score
7
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
 
Heri ya pasaka nyote.ninaomba ushauri wenu nimetoka Na mume Wa MTU nimejigundua nimenasa ujauzito wake. Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nn, sasa hv kazima simu zake nisimpate, Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa. Naomba ushauri wenu Wa busara
Wakat unapigwa dry hukutaka ushauri
 
Heri ya pasaka nyote.ninaomba ushauri wenu nimetoka Na mume Wa MTU nimejigundua nimenasa ujauzito wake. Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nn, sasa hv kazima simu zake nisimpate, Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa. Naomba ushauri wenu Wa busara
Ni PM niitoe kwa kukuingilia, hiyo dawa ninayo!!!
 
Uzae Tu
Mbona mama diamond alilea mtoto mwenyewe
Kuhusu kazi funga ndoa mwenyewe kwani lazima mwanaume kanunue cheti feki uwape sio lazima harusi
 
Kama unafikiria kuchoropoa achana nayo. La msingi kubali kulea mimba na huko unakofanya kazi kubaliana na maamuzi watakayochukua. Ndo kuwajibika huko.
 
Ahaaa! wewe ndio wale mnafanyia kwa ofisi, mpelekee mke wake yule si mwanamke mwenzio... atakuelewa tu!
 
Sasa hapa umekuja kuomba ushauri gani? Au kuhalalisha kuua

Utajiju
 
Give all the sacrifices to the little baby, even if loosing job!
Don't even think to abort!!
Mtoto ni Baraka wengi wanawatafuta na hawawapati, kama umesikiliza redio Leo, kuna mtoto wa wiki moja kaibiwa hospitalini, do u see how others suffers to get a baby
Kama kutokea imeshatokea, chakufanya mrudi Mungu, Yeye aliyeumba mbingu na nchi, Yeye afanyaye njia pasipo na njia
Atakushindia!
Believe in Him
 
Kwan si ulikua unajua ni mme wa mtu,.. We ushalikoroga linywe sasa
 
Zaa mtoto abarikiwe ili akusaidie badae.,ila usiombe ushauri ambao madhara yanafaamika.
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Majuto ni mjukuu..wahenga walisema. Hukujua siku zako za hatari wewe?
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Wakati unanjunjana hukujua kama upo kwenye shirika la kidini?????
 
Back
Top Bottom