Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
Kama kweliNawalaumu sana wazazi wetu, kweli mzazi wa kuweza kukuachia urithi wa milioni 700 hakukuachia ujuzi wowote ambao ungeundeleza, wazazi tuwafundishe watoto wetu uwekezaji na biashara tokea wakiwa wadogo.