Dogo;
Pole sana ila ningetamani kama kwanza ungejiamini. Kwanza, cha muhimu umesema huwa inaamka (inadisa). Hilo mbona jembe? Tatizo lako ni kutokujiamini tuu. Nnani kakuambia kuwa kila mwanamke ana k ya kina kireefu?? Kama ilivyo kwa mwanamume kuwa ulipata hiyo aina yako, jua pia kwamba hata wanawake nao kuna wenye vifinyu (tight) sana na kuna wenye mapango mareefu sana.
Kitu kinachotakiwa kwa dume ni uhakika na ujasiri. Usiwe na haraka kumwaga, tulizana uweze kujizuia kwa dakika zisizo pungua 10 - 15 kila raundi. Halafu, jitahidi kumzaba (Kufyata) kama raundi 4 hivi bila kumruhusu alale.
Hata kama ni kifupi na chembamba ka njiti, toboa nacho tu mkuu. Bora usihofu kika sinzia. Watakusema hapo kijijini kuwa weye ni moto wa kuotea mbali.
Ukiendelea kuwaogopa hao wasichana, soon kweli wataanza kukuletea vijana wa kazi kuja kuomba mtonyo kwako. Na kwa mawazo yako haya ya kujikatia tamaa, utaona kuwa ngoja nimwadhibu mamangu niolewe akiona.
Umewahi kusikia "Serengeti boys". Sio wachezaji bali ni vitoto vidogo vinavyo waridhisha majimama yaliyo kubuhu. Yale ambayo hakuna tena dume mwenye akili anaangalia huko. Mbona hivi vitoto vinawaweza hayo majimama weye kwa nini usiweze?
Changamkia mdada wa kwanza kupitia karibu na weye. Usianze na majimama usije ogopa kina. Anza na vibinti vidogo ambavyo havijazoelea magogo na mihogo ya Giang'ombe. Usiache kuuleta mrejesho