Ushauri: Nimeoa lakini simpendi mke wangu

Ushauri: Nimeoa lakini simpendi mke wangu

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza


Nikiwa kahama nilifanikiwa kukutana na mfanya biashara mwenzangu yeye amejikita zaidi kwenye Madini, katika kuzungumza ikafika usiku mm nikamwambia ndugu yangu uende kwako tutaonana kesho akasema haendi kulala kwakwe nikapotezea mm nikaenda zangu.

Ilipofika usiku wa saa Tisa Shemeji akanipia simu akauliza "Rafiki yako Bado yuko huko mbona hapokei sim!?" Nikamwambia Subil nakupigia lengo nimuulize jamaa aliko.

Kweli nikapiga simu nikamuuliza uko wapi akasema kuna sehemu amelala nikamwambia Shemeji ananiuliza uliko Sasa inakuwaje hujaenda kwako!?
Majibu aliyonipa ndiyo yamenifanya nilete huu Uzi hapa

Jamaa akasema "Kaka sikufichi Niko na mke wangu mwaka wa Tisa huu lakini SIMPENDI" nilishituka nikawaza amelewa au!! Nikamwambia aje pale nilipofikia tuzungumze, kwel daika chache nasikia horn za gar nikatoka nje mlinzi akawa amefungua geti akaingiza gari ndani tukakaa nje kuzungumza.


Akasema tena kaka "SIMPENDI MKE WANGU" nataka unisaidie Sina aman ya kuwa nae nikawaza Cha kumshauri lakin nikasema Subil, nikachukua sim nikampigia Shemeji nikamwambia Niko na mme wako hapa ongea nae akaongea kidogo kwamba Kuna vitu Bado tunafatilia atakuja mke akasema Haina shida, hapo nawaza Cha kumshauri sipati

Kwa kifupi huyu bwana ni tajiri tu mkubwa anaish kahama hapa Wana mtoto Mmoja na mke wake, nitaelezea muonekano wa mke wake, mke wake ni mfupi, katika kuzungumza akasema anataka atafute mwanamke mweupe mrefu mzuri anasema hapo roho yake itatulia


Mm nikamuuliza unauhakika ukipata mwanamke mweupe roho itatulia!?
kwa kwel tumeongea mengi.


Sasa wazee wenzangu wenye busara nimshauri nn Rafiki yangu make mm nilimwambia ukwel swla lako ni zito mbaya Zaid hata mwanamke huyo mweupe wa kuoa Hana Hadi atafute


Sasa wataalam wa mahusiano nipeni Cha kumwambia mshikaji make anatia huruma Kuna muda unaongea nae mpaka machozi yanamtoka.
Je aliowa wakati hana hera, au baada ya kupata hera?
 
Mwambie kama anahele nimnunue huyo mke wake Kwa -60000000 matatizo kama haya nayasolve kirahisi tuu
 
Hapo ni shida ya saikolojia, yaani amani yake ya moyo kaitegemeza kwa mwanamke. Hii kitu mbaya sana, ndo hao wanaokuwa mateja wa mapenzi uishia kuua au kujiua kisa mapenzi
 
Huu Uzi ni WA kutunga alafu unawafanya wanaume wenzio waonekane hawajitambui na hawana msimamo.

Tengeneza nyuzi za kueleweka😎
 
Ila wanaume mkishapata hela sijui huwa mnakuwa vipiii kabla hajawa tajiri alimpenda akamuoa sasa hivi kimebadilika nini
Ngoja apigwe tukio.Hii mbaya Sana kumuacha mke uliyesota nae ndio baraka YAKO,wengi waliofanya hivyo waliambulia vilio.
Mungu anazo sababu nyingi Sana kwann awapi utajiri wengine hii ni moja ya sababu pia
 
Kwanza hakuna uhusiano kati ya mapenzi ya kweli na utajiri, isipokuwa upo uhusiano wa utajiri na ukahaba....

Msaidie jamaa yako kwa kumweleza kuwa hawala huleta mikosi, mke huleta baraka na kuwa dhambi kubwa isiyosameheka kwenye ndoa ni uzinzi!
Hawaelewi hili, mafanikio yeyeto uyapatayo kwenye ndoa chanzo ni baraka za mke uliye nae.
Hii ni SAwa na yule aliyepatia utajiri kazini then akaacha Kazi asimamie utajiri huwa anafilisika.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,

Nikiwa kahama nilifanikiwa kukutana na mfanya biashara mwenzangu yeye amejikita zaidi kwenye Madini, katika kuzungumza ikafika usiku mimi nikamwambia ndugu yangu uende kwako tutaonana kesho akasema haendi kulala kwakwe nikapotezea mimi nikaenda zangu.

Ilipofika usiku wa saa Tisa Shemeji akanipia simu akauliza "Rafiki yako Bado yuko huko mbona hapokei simu!?" Nikamwambia Subil nakupigia lengo nimuulize jamaa aliko.

Kweli nikapiga simu nikamuuliza uko wapi akasema kuna sehemu amelala nikamwambia Shemeji ananiuliza uliko Sasa inakuwaje hujaenda kwako!? Majibu aliyonipa ndiyo yamenifanya nilete huu Uzi hapa.

Jamaa akasema "Kaka sikufichi Niko na mke wangu mwaka wa Tisa huu lakini SIMPENDI," nilishituka nikawaza amelewa au! Nikamwambia aje pale nilipofikia tuzungumze, kwel daika chache nasikia horn za gar nikatoka nje mlinzi akawa amefungua geti akaingiza gari ndani tukakaa nje kuzungumza.

Akasema tena kaka "SIMPENDI MKE WANGU" nataka unisaidie Sina aman ya kuwa nae nikawaza Cha kumshauri lakin nikasema Subil, nikachukua sim nikampigia Shemeji nikamwambia Niko na mme wako hapa ongea nae akaongea kidogo kwamba Kuna vitu Bado tunafatilia atakuja mke akasema Haina shida, hapo nawaza Cha kumshauri sipati.

Kwa kifupi huyu bwana ni tajiri tu mkubwa anaish kahama hapa Wana mtoto Mmoja na mke wake, nitaelezea muonekano wa mke wake, mke wake ni mfupi, katika kuzungumza akasema anataka atafute mwanamke mweupe mrefu mzuri anasema hapo roho yake itatulia.

Mimi nikamuuliza unauhakika ukipata mwanamke mweupe roho itatulia? Kwa kwel tumeongea mengi.

Sasa wazee wenzangu wenye busara nimshauri nn Rafiki yangu make mimi nilimwambia ukwel swla lako ni zito mbaya Zaid hata mwanamke huyo mweupe wa kuoa Hana Hadi atafute.

Sasa wataalam wa mahusiano nipeni Cha kumwambia mshikaji make anatia huruma Kuna muda unaongea nae mpaka machozi yanamtoka.
Kama hujaoa,mu-overtake huyo jamaa yako. Yaelekea mkewe ni wife material sana
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,

Nikiwa kahama nilifanikiwa kukutana na mfanya biashara mwenzangu yeye amejikita zaidi kwenye Madini, katika kuzungumza ikafika usiku mimi nikamwambia ndugu yangu uende kwako tutaonana kesho akasema haendi kulala kwakwe nikapotezea mimi nikaenda zangu.

Ilipofika usiku wa saa Tisa Shemeji akanipia simu akauliza "Rafiki yako Bado yuko huko mbona hapokei simu!?" Nikamwambia Subil nakupigia lengo nimuulize jamaa aliko.

Kweli nikapiga simu nikamuuliza uko wapi akasema kuna sehemu amelala nikamwambia Shemeji ananiuliza uliko Sasa inakuwaje hujaenda kwako!? Majibu aliyonipa ndiyo yamenifanya nilete huu Uzi hapa.

Jamaa akasema "Kaka sikufichi Niko na mke wangu mwaka wa Tisa huu lakini SIMPENDI," nilishituka nikawaza amelewa au! Nikamwambia aje pale nilipofikia tuzungumze, kwel daika chache nasikia horn za gar nikatoka nje mlinzi akawa amefungua geti akaingiza gari ndani tukakaa nje kuzungumza.

Akasema tena kaka "SIMPENDI MKE WANGU" nataka unisaidie Sina aman ya kuwa nae nikawaza Cha kumshauri lakin nikasema Subil, nikachukua sim nikampigia Shemeji nikamwambia Niko na mme wako hapa ongea nae akaongea kidogo kwamba Kuna vitu Bado tunafatilia atakuja mke akasema Haina shida, hapo nawaza Cha kumshauri sipati.

Kwa kifupi huyu bwana ni tajiri tu mkubwa anaish kahama hapa Wana mtoto Mmoja na mke wake, nitaelezea muonekano wa mke wake, mke wake ni mfupi, katika kuzungumza akasema anataka atafute mwanamke mweupe mrefu mzuri anasema hapo roho yake itatulia.

Mimi nikamuuliza unauhakika ukipata mwanamke mweupe roho itatulia? Kwa kwel tumeongea mengi.

Sasa wazee wenzangu wenye busara nimshauri nn Rafiki yangu make mimi nilimwambia ukwel swla lako ni zito mbaya Zaid hata mwanamke huyo mweupe wa kuoa Hana Hadi atafute.

Sasa wataalam wa mahusiano nipeni Cha kumwambia mshikaji make anatia huruma Kuna muda unaongea nae mpaka machozi yanamtoka.
Maswali ya msingi wakati anamuoa alikua anahela au Hana na kama alikua nazo poa Ila kama hakua na pesa akimuacha huyo mwanamke ndio anguko lake lilipo
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,

Nikiwa kahama nilifanikiwa kukutana na mfanya biashara mwenzangu yeye amejikita zaidi kwenye Madini, katika kuzungumza ikafika usiku mimi nikamwambia ndugu yangu uende kwako tutaonana kesho akasema haendi kulala kwakwe nikapotezea mimi nikaenda zangu.

Ilipofika usiku wa saa Tisa Shemeji akanipia simu akauliza "Rafiki yako Bado yuko huko mbona hapokei simu!?" Nikamwambia Subil nakupigia lengo nimuulize jamaa aliko.

Kweli nikapiga simu nikamuuliza uko wapi akasema kuna sehemu amelala nikamwambia Shemeji ananiuliza uliko Sasa inakuwaje hujaenda kwako!? Majibu aliyonipa ndiyo yamenifanya nilete huu Uzi hapa.

Jamaa akasema "Kaka sikufichi Niko na mke wangu mwaka wa Tisa huu lakini SIMPENDI," nilishituka nikawaza amelewa au! Nikamwambia aje pale nilipofikia tuzungumze, kwel daika chache nasikia horn za gar nikatoka nje mlinzi akawa amefungua geti akaingiza gari ndani tukakaa nje kuzungumza.

Akasema tena kaka "SIMPENDI MKE WANGU" nataka unisaidie Sina aman ya kuwa nae nikawaza Cha kumshauri lakin nikasema Subil, nikachukua sim nikampigia Shemeji nikamwambia Niko na mme wako hapa ongea nae akaongea kidogo kwamba Kuna vitu Bado tunafatilia atakuja mke akasema Haina shida, hapo nawaza Cha kumshauri sipati.

Kwa kifupi huyu bwana ni tajiri tu mkubwa anaish kahama hapa Wana mtoto Mmoja na mke wake, nitaelezea muonekano wa mke wake, mke wake ni mfupi, katika kuzungumza akasema anataka atafute mwanamke mweupe mrefu mzuri anasema hapo roho yake itatulia.

Mimi nikamuuliza unauhakika ukipata mwanamke mweupe roho itatulia? Kwa kwel tumeongea mengi.

Sasa wazee wenzangu wenye busara nimshauri nn Rafiki yangu make mimi nilimwambia ukwel swla lako ni zito mbaya Zaid hata mwanamke huyo mweupe wa kuoa Hana Hadi atafute.

Sasa wataalam wa mahusiano nipeni Cha kumwambia mshikaji make anatia huruma Kuna muda unaongea nae mpaka machozi yanamtoka.
Ndoa ni utapeli kataa ndoa
 
Ila wanaume mkishapata hela sijui huwa mnakuwa vipiii kabla hajawa tajiri alimpenda akamuoa sasa hivi kimebadilika nini
Bora kutokuwa na pesa kuliko kukosa akili,,jamaa ni mjinga sijaona.
 
Kipindi hajapata hela alikuwa mzuri,amepata hela anaona sio type yake,mwambie nampa pole make anachokitafuta atakipata
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,

Nikiwa kahama nilifanikiwa kukutana na mfanya biashara mwenzangu yeye amejikita zaidi kwenye Madini, katika kuzungumza ikafika usiku mimi nikamwambia ndugu yangu uende kwako tutaonana kesho akasema haendi kulala kwakwe nikapotezea mimi nikaenda zangu.

Ilipofika usiku wa saa Tisa Shemeji akanipia simu akauliza "Rafiki yako Bado yuko huko mbona hapokei simu!?" Nikamwambia Subil nakupigia lengo nimuulize jamaa aliko.

Kweli nikapiga simu nikamuuliza uko wapi akasema kuna sehemu amelala nikamwambia Shemeji ananiuliza uliko Sasa inakuwaje hujaenda kwako!? Majibu aliyonipa ndiyo yamenifanya nilete huu Uzi hapa.

Jamaa akasema "Kaka sikufichi Niko na mke wangu mwaka wa Tisa huu lakini SIMPENDI," nilishituka nikawaza amelewa au! Nikamwambia aje pale nilipofikia tuzungumze, kwel daika chache nasikia horn za gar nikatoka nje mlinzi akawa amefungua geti akaingiza gari ndani tukakaa nje kuzungumza.

Akasema tena kaka "SIMPENDI MKE WANGU" nataka unisaidie Sina aman ya kuwa nae nikawaza Cha kumshauri lakin nikasema Subil, nikachukua sim nikampigia Shemeji nikamwambia Niko na mme wako hapa ongea nae akaongea kidogo kwamba Kuna vitu Bado tunafatilia atakuja mke akasema Haina shida, hapo nawaza Cha kumshauri sipati.

Kwa kifupi huyu bwana ni tajiri tu mkubwa anaish kahama hapa Wana mtoto Mmoja na mke wake, nitaelezea muonekano wa mke wake, mke wake ni mfupi, katika kuzungumza akasema anataka atafute mwanamke mweupe mrefu mzuri anasema hapo roho yake itatulia.

Mimi nikamuuliza unauhakika ukipata mwanamke mweupe roho itatulia? Kwa kwel tumeongea mengi.

Sasa wazee wenzangu wenye busara nimshauri nn Rafiki yangu make mimi nilimwambia ukwel swla lako ni zito mbaya Zaid hata mwanamke huyo mweupe wa kuoa Hana Hadi atafute.

Sasa wataalam wa mahusiano nipeni Cha kumwambia mshikaji make anatia huruma Kuna muda unaongea nae mpaka machozi yanamtoka.
Badili #Id yako tafadhali, hakuna uhalisia wa Big thinker na mawazo yako 😔
 
Back
Top Bottom