Ushauri: Nimemuacha anatishia kujidhuru

Ushauri: Nimemuacha anatishia kujidhuru

Kaa nae muonye kwani hakna binadam aliye kamilika akishidwa piga chini(ila kuna technique nataka nikupe ni PM)
 
Na ajiue tuu maisha si yake. Achana nae endelea na maisha yako. Huwa siwaoneagi huruma wasaliti wa mapenzi nawachukia
 
Mkuu nitakutumia PM
Mkuu pole sana kwa matatizo hayo. Tafadhali unaweza nisaidia jina la hyo application na hatua kwa hatua jinsi ya kuinstall na yeye asiione?tafadhali msaada kwani mimi wangu nilishawahi mkamata akanisaliti nikamsamehe but sina hakika kama aliacha. Tafadhali nisaidie
 
Moja, Nashukuru kwa ushauri. Mbili, nimeshamtoa moyoni na nimemuacha kwa amani tu ila yeye ndo anatishia kujidhuru. Tatu nitakujibu PM
Mkuu njoo pm unielezee kwa ubora kabisa haka ka programu nimeona nimsaada, unweza kuta mke wako unamuamini asilimia zote kumbe on your back ni shida,
 
Back
Top Bottom