Msherwa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 1,323
- 1,230
siyo akajifunze kiswahili, waha ndio wanavyoongea. huyu atakuwa ni muha wa nguruka, ngoja wampe discipline kwanza
Una roho mbaya kama sio mzawa wa jf!
ilaa mtu hata kiswahili hukijui vyema halafu unaenda pekupeku
Njia za kutembea peku zinafahamika
sasa yeyey anatembea peku popote
ngoja azisome herufi kwanza!!
Na akitoa hiyo mimba wanajf tumshtaki kwa uuaji
Watu tunatafuta mimba yeye anaogopa mimba!!