Ushauri: Nimemtia mke wa mtu mimba

Ushauri: Nimemtia mke wa mtu mimba

ZigiZaga

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
957
Reaction score
1,080
Habari JF,

Naombeni ushauri jamani, hapa nilipo nimempa mke wa mtu mimba, na mimi mwenyewe ninafamilia yangu.

Amesema nikiikana atakuja kwangu aishi, sasa hapa nashindwa nifanyeje, nimemwambia atoe hataki.

Naombeni ushauri jamani.

Ahsateni.
 
Ikubali ili asije kwako usiikane mwache ailee.
 
UMEMUTIA eeh?

Haya neda kajifunze kwanza Kiswahili

Then uje nikuelekeze jinsi ya kutoa

teh !!
 
Mbona ilo sio kubwa kama hukumu ya mola yan ungeanza kwa muumba aliyekuumba ndio ukafuata kwa binadam....coz iyo ni dhambi iliyochanganyika na laana....iyo ni dhulma iliyochanganyika na usaliti....dah yan iyo dhambi kwa level yangu ya ubachela nakaa pembeni.
 
Hapa wote mnamakosa wewe Mme wa mtu, yeye mke wa mtu sasa anasema ukikana atakuja kwako mme wake atamwacha na nani? Pili hapa mwenzio atakua anatumia hii weakness kukuonea au alifanya makusudi kukutegea mimba ili apate kwako alichokuwa anakitaka toka awali.
 
Acha ujinga uliomba ushauri kwa Nani mwanzo kwa kuwa hutosheki hiyo mimba utaibeba wewe subiri tu
 
Thread kama hizi zimezidi hapa JF. Jitu linajichapia huko, halafu mimba ikishika linakuja hapa kuomba ushauri, mbona hamwombi kabla ya game?
 
Daah pale ambapo mtu anaamua kujitoa akili, wee jamaa vilainishi hujui vimepigwa marufukuu...sasa ngoja mumewe akudake na wewe akutie mimba bwege kweli wewe
 
Back
Top Bottom