Ushauri: Nimempa ujauzito mchumba wa binamu yangu

Ushauri: Nimempa ujauzito mchumba wa binamu yangu

Amepata mimba alafu unashtuka....mlipokuwa mnaserebuka (tena bila kinga) mlitarajia matokeo yepi?
 
Ajali kazini hiyo usitoe mimba ila mwambie huyo dada aachane na binam yako halafu we uwe unapiga kinyemela huku unalea mimba na mwambie asikutaje kuwa we ndio ulie mpa hicho kibendi.
 
Wapendwa!
Mchumba wa binamu yangu alihamishiwa Dar kikazi kutoka mkoa fulani hapa Tz. Kwa kuwa nina nafasi ya kutosha nyumbani kwangu aliponiomba kuja kuishi hapa kwa miezi kadhaa wakati anajipanga sikuwa na hiyana.
Amefika kwangu mwezi wa 11 ilipofika January tukaanza kufanya ngono, sasa wiki iliyopita amenionyesha cheti cha hospitali kuwa ni mjamzito.
Tatizo sasa binamu na familia ikijua nitakuwa nimeumbuka vibaya.
Sina la kufanya, kutoa mimba kwa imani yangu ni sawa na kuua na sitaki kufanya hilo.
Nimekwama ndugu yenu. Mawazo kibao.
Ni bora umwambie ukweli binamu yako na wewe sasa umuoe huyu dada
 
Wapendwa!
Mchumba wa binamu yangu alihamishiwa Dar kikazi kutoka mkoa fulani hapa Tz. Kwa kuwa nina nafasi ya kutosha nyumbani kwangu aliponiomba kuja kuishi hapa kwa miezi kadhaa wakati anajipanga sikuwa na hiyana.
Amefika kwangu mwezi wa 11 ilipofika January tukaanza kufanya ngono, sasa wiki iliyopita amenionyesha cheti cha hospitali kuwa ni mjamzito.
Tatizo sasa binamu na familia ikijua nitakuwa nimeumbuka vibaya.
Sina la kufanya, kutoa mimba kwa imani yangu ni sawa na kuua na sitaki kufanya hilo.
Nimekwama ndugu yenu. Mawazo kibao.

sasa ndg wakati mnaanza kufanya hako kamchezo hamkufikiria kuhusu matokeo yake. acha ajifungue tu hamna namna sasa
 
Yani we ni mtu wa ajabu sana, mwenzio ameomba ajishikize tu kwako kwa mda umeamua kumsasambua kitumbua chake bila hata huruma ukambebesha na kamzigo kweli wewe sio mtu mzuri ..saivi unasema imani hairusu. Kwa hio imani yako inarusu kumtusua mchumba wa binamu yako?? Scumb*
 
Huyu jamaa anatuchezea akili tu.
Hii stori ya kutunga tu.
 
umeamua kula peku mtu, ingekuwa umempa mimba binamu kidogo ingekuwa shida ila kwa kuwa ni mchumba wa binamu we oa tu
 
Natamani sana binam yako awe amejiunga JF bila hata weye kujua. Aisome hii habari halaf akutembelee kwako ili ujue uovu ulioufanya. Kumbuka; hawajawaza kuoana yaani kufunga ndoa siku za karibuni. Utamsakizia binam kuingia kwa mchumba au utamzuia?? Kama kuna ubaya ulioutenda kwa familia yako hakuna zaidi ya huu.
Ushauri;
Oa huyu mwanamke. Usijemshauri kwenda kutoa, ikija kugoma, mziki huo hutauweza
 
Wapendwa,

Mchumba wa binamu yangu alihamishiwa Dar kikazi kutoka mkoa fulani hapa Tz. Kwa kuwa nina nafasi ya kutosha nyumbani kwangu aliponiomba kuja kuishi hapa kwa miezi kadhaa wakati anajipanga sikuwa na hiyana.

Amefika kwangu mwezi wa 11 ilipofika January tukaanza kufanya ngono, sasa wiki iliyopita amenionyesha cheti cha hospitali kuwa ni mjamzito.

Tatizo sasa binamu na familia ikijua nitakuwa nimeumbuka vibaya.Sina la kufanya, kutoa mimba kwa imani yangu ni sawa na kuua na sitaki kufanya hilo.

Nimekwama ndugu yenu. Mawazo kibao.
Kwani matangazo yalojaa tele mpaka kwenye maguzo ya umeme yakutumia kinga,wewe unakuaje unaisikilizia utamu namna hiyo mpaka unaharibu? sasa jifunze kutokana na makosa lo mimba mtoto azaliwe kama wako leo na kama si wako pia lea manake mwanakulitafuta mwanakulipata...
 
Huyo ni mchumba sio mke.
Hakuna tatizo badili mwelekeo wa upepo.
Tangaza ndoa, watakushangaa kwa muda mwisho utakuwa ushapata mke na mtoto.
Wote tunatenda dhambi ILA wenzio huwa tunajitahidi kuficha maovu yetu.
Hawa wadada nao usikute Alikuja kwako kwa mission maalum na wewe kwa kupenda Wanawake weupe wenye mizigo ukaingia bila kinga.
Pole sana
Familiya yenu imeingia katika mgogoro Mkubwa
 
Weka kila kitu wazi. mtoto hafichiki. atakayenuna anune, atakayechukia achukie. limekwishatokea na halirekebishiki. mlee mtoto kwa 100%. maneno yatasemwa na undugu utabaki kuwa pale pale. uwanaume ni kuwajibila kwa matendo yako.
Hapo hakuna undugu tena mkuu,Hauwezi kusafari mkoa anaoishi binadamu yako au hata na kaka/dada zake tumbo moja ukafikia kwao ukiwa na huyo mke katika maisha yako yaliyobaki hasa kama uchumba ulikuwa unafahamika kwa familiya
 
Aseee.... wee ni mroho sana yaani mpaka dem wa ndg yako!
 
Back
Top Bottom