Simu gani zina recycle bin ?Habari za siku humu wadau,.
Ninamchumba ila Jana nimekuta SMS za kimahabamahaba katika cm yake ,kimsingi sipendi kukagua cm yake bahati mbaya akasahau bila kufuta mambo yake akaniambia nimsaidie kutengeneza cm yake SMS haziingii kwenye cm yake, sasa wakati na irekebisha kuingia katka recicle bin ya cm nikakuta SMS za mahaba na mtu mwingine nje na mm kimsingi nilipomwambia alidai nimsamehe nikawaza nikamwambia sawa ila naombeni ushauri nimwache au nifanyeje maana kama kichwa kinavurugika hivi.
Dah Salt hapa umeniacha Kolomije.cheating if like rainfall, its raining everywhere.....
Uamuzi ni wako
kivipi mpendwa?Dah Salt hapa umeniacha Kolomije.
Ushauri bora wa mwaka 2018.Jinyinge hadi kufa ili umtest kama kweli anakupenda.
Namimi nasubiria jibuAkijibu unitag
Msaliti ni msaliti tu. No other way. Mm kosa kama hilo ni break up. Maana mtu mpaka anakusaliti alidhamiria kabisa, hakuna bahati mbaya kwenye usalitiAchana naye kabisa.
Siku hizi hata kama sina malengo na msichana ila sikubali kuchangia.
Mpaka inafikia unagundua hayo,tambua uko kwenye hatua mbaaaya.
Inamaana kama usingegundua ungechapiwa mwanzo mwisho.
Ilikuwa haina haja ya kuomba ushauri.
Kwenye usaliti huwa sina huruma kabisa hata vitasa naweza kukupatia.
Nisichopenda kumfanyia mtu sipendi nitendewe.