Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Unapo ni quote andika kwa usahihi, maana mpaka nakujibu jua napoteza sekunde kadhaa za maisha yangu.
Hapa watu wanabishana na baba zao bila kujua.I am 50+
Hapa nikubadili line tu, kule siendiNchi hii uonevu na ugandamizaji umekithiri. Hivi inakuwaje mtu aitwe polisi amekwenda pasi na shaka, akahojiwa mawili matatu akajibu na ikabainika kwamba mtu huyo hana shida sana,iweje aambiwe vua viatu,mkanda zama ndani? Kwa nini asiendelee kutoa ushirikiani huku akiwa nje na shughuli zake za kila siku? Hii nchi raia akiitwa polisi pasipokujali alichoitiwa 99% ana uwezekani Wa kuwekwa ndani
Kaka hizi polisi zetu hta kma hujawai sonya ukijipeleka makosa yapo tu yakufikiaIngia hapa.
Jua haki yako unapokamatwa na Polisi
Kama unajiamini hujawahi kufanya lolote baya nenda. Pia jua ukienda leo utawekwa ndani mpaka J3. Kumbuka kujiamini maana hawa policcm divsheni four huwaga na katabia ka kupiga mkwara ukiwa muoga imekula!
Cc Dragoon Petro E. Mselewa BISECKO Pascal Mayalla
Ngoja nikupe kisa kilichonitokea miaka kadhaa iliyopita...
Kwanza huyo polisi anayetaka uende central kwa sababu ya namba ambayo anaona unawasiliana nayo nafikiri anakosea sana hasa ukizingatia kwamba teknolojia ya kumpata wanayemtaka wanayo.Habari wakuu
Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho
Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine
Ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka unaongelea jeshi la polisi tanzania sio USA au UK!
Au kuna uwezekano kamsema mzee meko mtandaoni.Vile vile angali pia maandiko yako mtandaoni usije naswa kwenye Tundu Bovu.
Kwenye simu yako huyo unayewasiliana naye mara kwa mara unajua mienendo yake?!
Tulia, tafakari kwanza! Usijipeleke kichwa kichwa! Wale wapo kazini wakikutia ndani mpaka uje uonekane huna hatia, ushapoteza muda wako mwingi sana pengine na hela pia!!
Wafanye kazi yao ipasavyo, wasirahisishe mambo kukuita tuu. Wakuje wakukamate wakakuhoji!!
Utii wa sheria bila shuruti...
Dah ko hapa nichague njia ipi maana pale uwezekano wa kukutana na janga lolote ni kugusa hata kama huhusikiNgoja nikupe kisa kilichonitokea miaka kadhaa iliyopita...
Niliamka asubuhi, mara paaap simu inaita namba mpya nikaona nipoke!
"unaongea na afande .... kutoka kituo cha polisi, unatakiwa ufike hapa haraka sana...akakata simu.."
Ilinishtua sana, nikawaza nishawahi piga dili mahali? no sijawahi! Basi nikawajulisha ndugu na jamaa ina case likitokea la kutokea!
Kufika kituoni nikakuta viajana kama wanne hivi wako selo, then afande akawaita!
"Huyu ndiye aliyewapa huo mzigo?"
Wakasema HAPANA!...nikawapiga mkwara wale polisi... lakini nikaona isiwe shida!
Basi nikawaacha pale wanabishana na wafungwa wao! Mimi huyo nikasepa zangu!
USHAURI.
Mpaka wamepata namba yako jua kabisa wana jina lako! ILA Kama unajiamini HUNA MABAYA NENDA ILA KUNA RISK UNAEZA ENDA UKAUNGWA NA UNAWEZA USIENDE WAKAKUSAKA (na mpaka wakusake utakua na jibu wakikupata nini kitafwata...)
Kwa nini ubadili line, jiamini kama huna kosa na wao wapo kazini wakufuate wakukamate wakakuhoji!!Asante mkuu
Hapa nawaza kubadili na line asa sijui unanishauri vipi maana hii nchi kwa kweli polisi wake nawajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina msala kaka yani sijui hata nini shidaKesho ikifika mpigie huyo afande aliyekupigia simu mwambie umepata dharura unamuomba uweze kufika hapo kituoni jumatatu asubhi...na jumatatu asubuhi ufike kweli...kwako jitahidi usikae maana kama una msala watakufuata hapo! Kama ni kutoa ushirikiano ukatoe hiyo jumatatu upo na mdhamini na mwanasheria wako standby
Inawezekana garama za kumlipa ikawa shida
Hapo kweli umenenaKwa nini ubadili line, jiamini kama huna kosa na wao wapo kazini wakufuate wakukamate wakakuhoji!!
Ukibadili line kama ni mtu wako wa karibu si bado mtakuwa mnawasiliana?!