ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,460
- 67,430
House boy naye anamtamani ,sema alikuwa anamuogopa tuu.Naona sasa house boy maombi yake yamejibiwa.
Hahhaha nimehisi aisee shoga gani amtamani house boy wake aje akuhadithie




hapi chacha shooo
Eiish hilo swali natakiwa nijibu mimiAnayo ndiyo kwani ina tofauti na nyingine?
Nimekumiss pia my wangu jamaniNimekumiss sana my.....

Upo?Sio laani ni moyo, sasa ukute mme yupo busy hana muda na mke mm na hawa
waume wasomi usomi wao mpaka kwa mkewe yaani uzinzi hautaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole yakee mnooo
Eiish hilo swali natakiwa nijibu mimi
Sina jibu mm sijawahi tamani ya house boyNdiyo jibu wewe!
UnasemaMimi ni Mwanamke nimeolewa nina watoto wawili,ila kuna huyu house boy anaitatiza sana yaani ananivutia mnoo kwanzia body yake mimi hoi jamani namtamani kwelikweli kila nikimuona nalowa ila mume wangu ndo kikwazo ushauri tafadhali.
From a Friend.
Mapovu ruksa jameni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijambo hofu kwakoNimekumiss pia my wangu jamani![]()
Niko pia hiyi avi yako mweeh!