Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,447
Dada yangu huu uzi wanasoma wengi sana. Epuka kujibizana na mtu na pia tumia kauli nzuri haijalishi mtu kakuudhi kiasi gani.Yani na mshangaa san alivyonikazania tafkiri nimetembea na baba yake mzazi,
Kumbuka mke anapatikana popote, kwahiyo kuna wakati unaweza kupeperusha ndege bila ww kujua. Neno asante linatosha kwa mtu anayekuudhi. Kwann utapungukiwa nn ukimpuuza?