Ushauri: Nimechoka na hii hali ya kuachwa na wanaume

Na kushauri tena, temana na watu wa sampuli hiyo, utapasua key board bure au kujikuta simu unaiona jiwe umarusha. Chukua lililo jema humu, hayo mengine ukijaribu tu kuyabeba, husitegemee kutoka na kitu humu.
Wwe ndo umemshauri point huyuuuu
Na hamna kitu kizur km kuchukulia kila kitu easy....ndo km hao wachukulie poa tu watukane ww sawa then furaha yako itakuja kwanza
 
Ushaur jarbu kumpata anayekuzid umri miaka 15 mbele yaan mtu mzma kabsaa na uspende sana wenye kaz zao na uwe mvumilivu maana naona ulikuwa unawaacha wewe na c wao % znaonesha.nimeona aliyekuacha n huyu wa mwisho wengne umewaacha wewe

By macs
 
Dada naomba nijibu maswali aya theni nitajueleza kitu.
_wewe unafanya shuguli gani yaani umejiajiri au nimwajiriwa?
-Maisha yako ya level gan?
-wanaume unaikutana nao ni wa aina gani wasomi,wafanya biashara au kz nyingine
-je wewe umesoma ,na unapenda maisha gani?
 
#mti wa ajabu naomba unipe mimi nafasi ya mwisho nikumiliki uwe wangu wa milele,kama nikikutenda niwekee hata sumu.
 
Kosa kubwa ni kuchanganya mambo. Unamtegemea Mungu na bado unaruhusu ngono kabla ya ndoa. Hayo mambo hayachanganyikani.
ushauri fanya toba,jipe muda kidogo wa kujipumzisha kimahusiano then muombe Mungu akukutanishe na mume wako (siyo mchumba). Mkikutana hata kama ni siku moja kabla ya ndoa usikubal ngono. Jitunze uhifadhi utundu na nguvu zote kwa ajili ya usiku wa ndoa na maisha ya ndoa kwa ujumla. Ukifika kwenye ndoa umpe mumeo bila kumpimia (yaani unampa mpaka anaomba likizo ya wiki).
 
Mithali 3:
5 Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
6 Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.
 
Kosa kubwa ni kuchanganya mambo. Unamtegemea Mungu na bado unaruhusu ngono kabla ya ndoa. Hayo mambo hayachanganyikani.
ushauri fanya toba,jipe muda kidogo wa kujipumzisha kimahusiano then muombe Mungu akukutanishe na mume wako (siyo mchumba). Mkikutana hata kama ni siku moja kabla ya ndoa usikubal ngono. Jitunze uhifadhi utundu na nguvu zote kwa ajili ya usiku wa ndoa na maisha ya ndoa kwa ujumla. Ukifika kwenye ndoa umpe mumeo bila kumpimia (yaani unampa mpaka anaomba likizo ya wiki).
 
Naomba nikuchambue kidogo.
Kwa mujibu wa maneno yako ni kweli wewe ni muaminifu na wife material, ila
1. Kwanini Wasukuma tu? au unafata ile sifa yao ya kuhonga kama machizi?
2.Naona unatafuta wafanyakazi wa makampuni na Serikali, unatafuta kipato cha uhakika eti
4.Haujawahi kutongozwa na makabila mengine au wasio wafanyakazi?
5.Unatafuta wenye hofu na Mungu yaani walokole flani uchwara, hujawajua hao viube.
6.Miaka yote hiyo wewe unafanya kazi gani au ndio sababu unatafuta wenye Mishahara?
Jaribu kutulia utafute Mume na sio kipato wala hadhi yake.
 
Daaah Pole sana ila kikubwa kaa tuliza akili yako kabisa ondoaa pressure ya kuolewa amini kama ipo ipo tuu....
 
Inaonsha unaumri mkubwa sana. Maana nikijumlisha jumla ya miaka ya uchumba wako ni 14 kujumlisha umri ulioanza mahusiano ya uchumba 17.
Jumla KUU 31 na bado haujaolewa. Yakupasa kukubali kuwa single forever. Mathematically msichana asipoolewa kati ya 20 na 26 basi huyo yampasa Kusahau neno Ndoa.
wewe acha hayo ni mawazo ya binadamu wengi na sijui nani katuloga etii 20 na 26 watu wanaolewa hata wakiwa na miaka 40 cha msingi mwanamke ni kujiheshimu na kujitunza tu na kutpambana hayo mengine yanakuja tu yenyewe
 
Najua kwa kitambo hiki tayari unamiliki kirungu cha mmasai
 
Pole sana sana dear usikate tamaa ni mambo ya muda tu, jambo la muhimu ni kuzidisha maombi kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom