masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
- Thread starter
- #21
Mi niliacha, muwowaji yupo.Zigo (wo)3 ule wewe na mme mwenza wako halafu ushauri tutoe sisi. DAH!
Tatizo hela yangu kuliwa na mume mwenzangu.
Mi niliacha, muwowaji yupo.Zigo (wo)3 ule wewe na mme mwenza wako halafu ushauri tutoe sisi. DAH!
We kamanda vipi?Haki ya Nani hii ndio hazina ya CCM, sikuwahi amini kwa umri wako unaweza andika utumbo kama huu!! CCM kuna laana gani?
CC Erythrocyte Nicholas
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani majaribu!Duh...!!!hatari sana. Mwambie akuandikie mahitaji ya mtoto ununue upeleke. Huko kumtunza dume mwenzio vepee
Ushauri poa sana!Mtoto ana umrii gani?,mkeo ushamjulisha kuwa una mtoto?? Kama bado mjulishe, na kama ashafikia umri wa kukaa na baba yake mchukue...
Ha ha anamtumia kama kitega uchumi, wewe ni baba fanya maamuzi kama baba!, ...Ushauri poa sana!
Ila mama wa mtoto hataki aondokane nae!
Kwani umemuacha au nakula kisirisiri?Mi si kijana mudogo lakini katika ngano za mapenzi nimo!
Nina mpenzi wangu na imezaa naye mtoto, ila familia yangu katu haifahamu isipokuwa wachache sana. Na kwa kweli huyu bibie si tu nampenda , ila ni musweet sana, umbo poa sura nzuri sana na hata (wo)3 ni poa kabisa.
Sasa huyu sumolu hausi akaamua kuolewa vile vile na ikawa afadhali kwangu maana iliniondolea majukumu mengi iidogo.
Lakini cha kushangaza huyu bibie ananirudia rudia kwa kila kitu kuanzia kodi ya nyumba hadi matumizi ya nyumbani.
Kijana mwenziwe wanagombana kwa vile mshiko hautoshi. Sasa hii imenikera maana nakuwa kama natunza bado familia mbili.
Nashindwa kumtolea nje kwa sababu ya mtoto wangu, lakini cha moto nakiona bulungutu linavyonitoka.
Wanawake hasa, hebu nishaurini!