Salus samy vladmir
Member
- Mar 21, 2018
- 35
- 6
Mimi hua nikipendana na mwanamke, akianza kunipa mzigo jua hapo amenitikisa. Yaani kwa wiki tunafanya siku 6 na nisha koma kukojoa nje.
Yani nikikojoa ni ndani kwa ndani. Ila hashiki mimba. Na mimi niya yangu abebe mimba ili nimuoe ila imeshindikana.
Nifanye nini?
Yani nikikojoa ni ndani kwa ndani. Ila hashiki mimba. Na mimi niya yangu abebe mimba ili nimuoe ila imeshindikana.
Nifanye nini?