Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

mahuta

Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
10
Reaction score
25
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara haukuwa sio mdogo sana (take home $1,200). Hizi side hustles nilikua nafanya kazi km expert kwenye taasisi na makampuni tofauti tofauti Tanzania.

Hizi side hustles nilizianza baada ya kupiga masters kutoka kutoka moja ya vyuo vikongwe hapa nchini mwaka zaidi ya saba iliyopita

Sasa taasisi niliyokua naifanyia kazi imefunga shughuli zake Tanzania, so kwa sasa nitakua nimepata muda free as nitaendelea na side hustles zangu japo sitakua na permanet job. Kwa sasa nimepiga side hustle flani nikapata kiasi flani ya pesa karibia $13,000. Sasa nikawaza, ili kubaki kwenye peak ya pyramid niongeze elimu ya juu kutoka Uzamili (Masters) hadi Uzamivu (PhD), hii ni kuongeza tu umahiri kwenye shughuli zangu maana baadhi za taasisi nazozifanyia kazi km sxpert ni za UN.

Program yenyewe ya PhD ni ya 3-4 years, naamini nikiwa nikijiunga nayo nitakutana na fursa zingine tena, huenda zikanisukuma kwenda mbele.

Kwa wale mliopiga masomo ya uzamivu kwa kujilipia, kiasi cha hele nilichonacho naweza kamilisha ndoto yangu au niendelee na mishe zingine tu?

Note: Masters pia nilisoma kwa kuunga unga (nilijilipia nikiwa na sina kazi maalum pia) tu but baada ya kumaliza nilipata deals zilizobadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa. Pia field yangu ni ya Sayansi, sio masomo ya sanaa na utafiti wangu wakati wa masters nilifanya molecular biology.
Asanteni.
 
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara haukuwa sio mdogo sana (take home $1,200). Hizi side hustles nilikua nafanya kazi km expert kwenye taasisi na makampuni tofauti tofauti Tanzania.

Hizi side hustles nilizianza baada ya kupiga masters kutoka kutoka moja ya vyuo vikongwe hapa nchini mwaka zaidi ya saba iliyopita

Sasa taasisi niliyokua naifanyia kazi imefunga shughuli zake Tanzania, so kwa sasa nitakua nimepata muda free as nitaendelea na side hustles zangu japo sitakua na permanet job. Kwa sasa nimepiga side hustle flani nikapata kiasi flani ya pesa karibia $13,000. Sasa nikawaza, ili kubaki kwenye peak ya pyramid niongeze elimu ya juu kutoka Uzamili (Masters) hadi Uzamivu (PhD), hii ni kuongeza tu umahiri kwenye shughuli zangu maana baadhi za taasisi nazozifanyia kazi km sxpert ni za UN.

Program yenyewe ya PhD ni ya 3-4 years, naamini nikiwa nikijiunga nayo nitakutana na fursa zingine tena, huenda zikanisukuma kwenda mbele.

Kwa wale mliopiga masomo ya uzamivu kwa kujilipia, kiasi cha hele nilichonacho naweza kamilisha ndoto yangu au niendelee na mishe zingine tu?

Note: Masters pia nilisoma kwa kuunga unga (nilijilipia nikiwa na sina kazi maalum pia) tu but baada ya kumaliza nilipata deals zilizobadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa. Pia field yangu ni ya Sayansi, sio masomo ya sanaa na utafiti wangu wakati wa masters nilifanya molecular biology.
Asanteni.
Kwani ungeandika kwa pesa ya Tanzania badala ya Dola isingefaa.
 
Elimu
Elimu
Elimu
Elimu usimwache aende zake mshike sana ELIMU.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Kwani BA na Msc zishakupa ROI? Kma unaingiza fweza sioni hata haja ya kwenda kuzichoma wkt utarudi kuwa na range ileile ya kipato! My 50cents though...

Subiri usikie na mie pia nasoma point za wasomi hapa!
 
Nenda Ulaya ukasome hiyo PhD Bongo utakutana na supervisors wa SUA au UDSM waliodata utakufa au upate sukari na presha ndo umalize
Nashukru kaka kwa ushauri.
Siendi hivyo vyuo mkuu, ulaya salio halitoshi mkuu.
Familia itakufa njaa halafu usumbufu wa ticket za ndege, accomodation nk itanisumbua sana.
 
Ali
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara haukuwa sio mdogo sana (take home $1,200). Hizi side hustles nilikua nafanya kazi km expert kwenye taasisi na makampuni tofauti tofauti Tanzania.

Hizi side hustles nilizianza baada ya kupiga masters kutoka kutoka moja ya vyuo vikongwe hapa nchini mwaka zaidi ya saba iliyopita

Sasa taasisi niliyokua naifanyia kazi imefunga shughuli zake Tanzania, so kwa sasa nitakua nimepata muda free as nitaendelea na side hustles zangu japo sitakua na permanet job. Kwa sasa nimepiga side hustle flani nikapata kiasi flani ya pesa karibia $13,000. Sasa nikawaza, ili kubaki kwenye peak ya pyramid niongeze elimu ya juu kutoka Uzamili (Masters) hadi Uzamivu (PhD), hii ni kuongeza tu umahiri kwenye shughuli zangu maana baadhi za taasisi nazozifanyia kazi km sxpert ni za UN.

Program yenyewe ya PhD ni ya 3-4 years, naamini nikiwa nikijiunga nayo nitakutana na fursa zingine tena, huenda zikanisukuma kwenda mbele.

Kwa wale mliopiga masomo ya uzamivu kwa kujilipia, kiasi cha hele nilichonacho naweza kamilisha ndoto yangu au niendelee na mishe zingine tu?

Note: Masters pia nilisoma kwa kuunga unga (nilijilipia nikiwa na sina kazi maalum pia) tu but baada ya kumaliza nilipata deals zilizobadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa. Pia field yangu ni ya Sayansi, sio masomo ya sanaa na utafiti wangu wakati wa masters nilifanya molecular biology.
Asanteni.
Aliekuambia utafiti ni wa sayansi alikupoteza huko Un mostly wanafanya socio economic issue ndio zina pay kwenye science labda ifakara maana mengn yamefreez halafu za ndaani Un inaunganisha agency zake December hii wafanyakaz wote wana achishwa mtaanza ku recruit upya based on few restructured agency so huko sio kwa mkataba nako
Haya kuendelea na masomo mhhh
 
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara haukuwa sio mdogo sana (take home $1,200). Hizi side hustles nilikua nafanya kazi km expert kwenye taasisi na makampuni tofauti tofauti Tanzania.

Hizi side hustles nilizianza baada ya kupiga masters kutoka kutoka moja ya vyuo vikongwe hapa nchini mwaka zaidi ya saba iliyopita

Sasa taasisi niliyokua naifanyia kazi imefunga shughuli zake Tanzania, so kwa sasa nitakua nimepata muda free as nitaendelea na side hustles zangu japo sitakua na permanet job. Kwa sasa nimepiga side hustle flani nikapata kiasi flani ya pesa karibia $13,000. Sasa nikawaza, ili kubaki kwenye peak ya pyramid niongeze elimu ya juu kutoka Uzamili (Masters) hadi Uzamivu (PhD), hii ni kuongeza tu umahiri kwenye shughuli zangu maana baadhi za taasisi nazozifanyia kazi km sxpert ni za UN.

Program yenyewe ya PhD ni ya 3-4 years, naamini nikiwa nikijiunga nayo nitakutana na fursa zingine tena, huenda zikanisukuma kwenda mbele.

Kwa wale mliopiga masomo ya uzamivu kwa kujilipia, kiasi cha hele nilichonacho naweza kamilisha ndoto yangu au niendelee na mishe zingine tu?

Note: Masters pia nilisoma kwa kuunga unga (nilijilipia nikiwa na sina kazi maalum pia) tu but baada ya kumaliza nilipata deals zilizobadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa. Pia field yangu ni ya Sayansi, sio masomo ya sanaa na utafiti wangu wakati wa masters nilifanya molecular biology.
Asanteni.
Kwa sehemu ulipo wekeza kwenye hiyo PhD. Naamini ninalokushauri linawezekana..kwa nafasi za uzamivu nje ya nchi zipo nje nje sana na kianzio pia unacho.
Nenda kasome PhD uone kigezo cha 3.8 ambavyo hakia apply kuwa lecturer chuoni.
 
Kwa sehemu ulipo wekeza kwenye hiyo PhD. Naamini ninalokushauri linawezekana..kwa nafasi za uzamivu nje ya nchi zipo nje nje sana na kianzio pia unacho.
Nenda kasome PhD uone kigezo cha 3.8 ambavyo hakia apply kuwa lecturer chuoni.
Asante mkuu kwa ushauri; ila sijaelewa ulimaanisha nn.
 
Back
Top Bottom